- 414 viewsMaafisa nchini Palestina wamesema mashambulizi ya anga ya Isreal yameuua watu 16 katikati mwa Ukanda wa Gaza, wakiwemo wanawake watano na watoto wanne. Shambulizi la mapema leo Jumatatu asubuhi limeharibu nyumba katika kambi ya wakimbizi ya Nuseirat iliyojengwa katikati mwa Gaza na kuua takriban watu 10 wakiwemo wanawake wanne na watoto wawili. Katika Hospitali ya Awda ambayo ilipokea miili, imethibitisha idadi hiyo na kusema kuwa watu wengine 13 walijeruhiwa. Taarifa za hospitali zinaonyesha kuwa watu waliokufa ni pamoja na mama mmoja , mtoto na ndugu zake wengine watano. Shambulizi jingine katika nyumba kwenye mji wa Gaza limeuua watu sita akiwemo mwanamke na watoto wawili kwa mujibu wa kikosi cha ulinzi wa raia na wafanyakazi wa afya wanaofanya kazi chini ya serikali ya Hamas inayoongoza. Shambulizi la hivi punde katika mzozo wa miongo kadhaa kati ya Israel na Hamas ulichochewa Oktoba 7 wakati kundi la Palestina la Hamas liliposhambulia Israel, na kuua watu 1,200 na kuchukua mateka wapatao 250, kulingana na idadi iliyotolewa na Israel. Mashambulio yaliyofuata ya Israel dhidi ya eneo linalotawaliwa na Hamas tangu wakati huo yameua zaidi ya Wapalestina 40,000, kwa mujibu wa wizara ya afya ya eneo hilo, huku pia ikiwafukuza karibu watu wote milioni 2.3, na kusababisha baa la njaa na kusababisha madai ya mauaji ya kimbari katika Mahakama ya Dunia ambayo Israel inakanusha. - AP, Reuters #gaza #ukandawagaza #mateka #israeli #jeshi #voa #voaswahili #qaidfarhanalkadi #hamas #palestina #wapalestina
SHAMBULIZI LA ISRAEL LAUUA WATU 16 GAZA
- 19 Sep 2024 - The government, through the Ministry for Labour and Social Protection, has announced a raft of reforms aimed at improving the recruitment and deployment process for Kenyans seeking employment abroad, among them the introduction of a new registration…
- 19 Sep 2024 - A family in Itunduimuni, Machakos County is seeking justice after their kin was abducted by armed militia in the Eastern Democratic Republic of Congo.
- 19 Sep 2024 - Former President Daniel Moi's grandson Collins Kibet has been sentenced to 7 days in jail for contempt by a Nakuru court in a child support case filed against him.
- 19 Sep 2024 - President William Ruto has urged newly installed Inspector General Douglas Kanja to protect the independence of the National Police Service (NPS) from any interference by external forces.
- 19 Sep 2024 - Collins Moi, the grandson of late former President Daniel Moi, was arraigned in court on Thursday following his arrest in Ongata Rongai, Kajiado County, on Wednesday.
- 19 Sep 2024 - Nyandarua MCAs have thrown their weight in support for DP Rigathi Gachagua, dismissing attempts to position Interior Cabinet Secretary Prof. Kithure Kindiki as the new leader of the Mt. Kenya region.
- 19 Sep 2024 - TSC was forced to clarify the matter after a clip of the tutor went viral on social media sparking uproar among Kenyans.
- 19 Sep 2024 - Reports had claimed that Kenyans buying goods from uncertified farmers would face penalties.
- 19 Sep 2024 - Collins Kibet was arrested on Thursday over a child support case filed against him.
- 19 Sep 2024 - National Assembly Speaker, Rt. Hon. Dr. Moses Wetang'ula, has called on UNICEF to prioritize the boy child in their advocacy initiatives, emphasizing that boys have become an "endangered species" as most child rights efforts have predominantly focused…