- 8 views
Shule katika kaunti ndogo ya Rabai kaunti ya Kilifi zinatarajiwa kunufaika na maji safi baada ya mbunge wa eneo hilo Anthony Kenga kufadhili uchimbaji wa visima vya maji kama njia moja ya kutatua tatizo la uhaba wa maji.Akizindua mradi wa uchimbaji kisima cha maji katika shule ya upili ya Canon Kuri, Kenga alisema kuwa uhaba wa maji katika eneo hilo umeathiri utoaji huduma hususan katika shule ambapo wasimamizi wa shule wanalazimika kununua maji kutoka sehemu za mbali na hivyo kutumia kiasi kukubwa cha fedha zilizotengewa shughuli za kimasomo. Aliahidi kuwa kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Kilifi atazindua miradi zaidi ya maji katika shule ambayo pia itawafaidi wakazi wa vijiji vilivyo karibu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Shule na umma wanufaika Kilifi
- - FKF League fixtres ››
- - FKF Recap ››
- 26 Apr 2025 - A shallow 6.3-magnitude earthquake left at least 20 people injured, dozens of buildings damaged and knocked out power in the Ecuadorian port city of Esmeraldas on Friday.
- 26 Apr 2025 - Gunmen have killed at least 20 people in an attack in a gold mining village in Nigeria's northwestern Zamfara state, residents and Amnesty International said.
- 26 Apr 2025 - The public viewing of Pope Francis's open coffin ended on Friday, television footage showed, after more than 150,000 worshippers had paid respects to the Argentinian pontiff during a three-day lying in state.
- 26 Apr 2025 - Health Cabinet Secretary Aden Duale has assured the country that there will be no interference with investigations into allegations of organ trafficking at Mediheal Group of Hospitals.
- 26 Apr 2025 - Brussels Airport, Belgium's main international flight hub, will cancel several flights on Tuesday, while Charleroi Airport plans to suspend all departures the same day due to a nationwide strike over the new government's austerity policies.
- 26 Apr 2025 - Squatters stop government from fresh allocation at stalled scheme
- 26 Apr 2025 - Today, Pope Francis becomes only the seventh Holy Father to be laid to rest at the Papal Basilica of St Mary Major in Rome.
- 25 Apr 2025 - Susan Kihika returns to Kenya after months abroad
- 25 Apr 2025 - President of Ukraine Volodymyr Zelenskyy arrived in South Africa on April 24, 2025, marking the first visit by a Ukrainian leader to African coun tries in the last ten years.
- 25 Apr 2025 - China honours Ruto with nation's most luxurious car, Hongqi Guoli