Mahojiano maalum na Naibu Katibu Mkuu wa UN (Sehemu ya 1)
Naibu katibu mkuu wa Umoja wa Matifa UN Jean- Pierre La Croix ametangaza kuwa UN imepewa mamlaka yote kusaidia kifedha kikosi cha SADC kwa ajili ya kudumisha amani na usalama mashariki mwa DRC. Alifahamisha hayo wakati wa ziara yake huko Kivu Kaskazini.
Akizungumuza na waandishi wa habari dakika chache baada ya kukutana na kamati ya usalama wa Mkoa wa Kivu Kaskazini inayosimamiwa na Gavana wa Kivu Kaskazini, Meja Jenerali Peter Cirimwami siku ya Alhamisi, Jean – Pierre la Croix amesema kwa sasa ni muhimu kwa DRC na MONUSCO kushirikiana, kwani Umoja wa Mataifa umepewa mamlaka ya kuwasaidia wanajeshi wa SADC kifedha na huduma nyingine kwa ajili ya kurejesha amani na usalama mashariki mwa Congo.
“Kwa sasa tumepewa mamlaka ya kusaidia SAMIDRC kupitia MONUSCO kupitia njia za kidiplomasia na kisiasa na kuunga mkono juhudi za SADC na kikanda. Tunaunga mkono hata hivyo usitishwaji wa mapigano ambao umepunguza ghasia licha ya kuwepo matatizo madogo , kuna mambo mengi ya kufanya na hatuwezi kusema kwamba pande husika zimeheshimu kikamilifu sitisho la mapigano,” La Croix alisema.
La Croix alitembelea mkoa wa Ituri ambako kumekuwa kukiripotiwa mauaji kila siku na kulazimisha wakazi kuhama vijiji vyao.
Wakimbizi wa ndani katika mkoa huo wanakabiliwa na ukosefu wa misaada
Ripoti/ Picha na Mahojiano na Austere Malivika
21 Sep 2024
- The foreigner expressed his frustration why the promo on an African show, in his opinion, has to be shoved down the throats of an international audince glued to CNN.
21 Sep 2024
- The Majority Leader made the sentiments while addressing Uasin Gishu residents.
21 Sep 2024
- With the tide against him, the MP left the event during which the excited crowd kept cheering for Kebaso.
22 Sep 2024
- At least 31 people died in an Israeli airstrike on a Beirut suburb on Friday, the Lebanese health ministry said on Saturday, including three children and seven women, in the deadliest strike in a year of conflict between Hezbollah and Israel.
22 Sep 2024
- Somalia has accused neighbouring Ethiopia of supplying weapons to its northeastern Puntland region, which this year unilaterally declared it would act as an independent state despite protests from the central government.
22 Sep 2024
- Kithure Kindiki joins Mountain political matrix
22 Sep 2024
- Masengeli, court clash highlights impunity by top police officers
22 Sep 2024
- Why Kenya-Germany jobs deal is double-edged sword for workers
22 Sep 2024
- Masengeli caricature
22 Sep 2024
- Tale of the Ethiopian Eunuch and why Africa must discover self-love
22 Sep 2024
- Safaricom consortium gets Sh104b contract for digital health system
22 Sep 2024
- Uhuru-era policies and 'roadside' declarations haunted by queries
22 Sep 2024
- Gaza's civil defence agency reported 21 killed in an Israeli strike on Saturday, the latest attack on a school sheltering displaced Palestinians where the Israeli military said it targeted militants.