Mahojiano maalum na Naibu Katibu Mkuu wa UN (Sehemu ya 1)
Naibu katibu mkuu wa Umoja wa Matifa UN Jean- Pierre La Croix ametangaza kuwa UN imepewa mamlaka yote kusaidia kifedha kikosi cha SADC kwa ajili ya kudumisha amani na usalama mashariki mwa DRC. Alifahamisha hayo wakati wa ziara yake huko Kivu Kaskazini.
Akizungumuza na waandishi wa habari dakika chache baada ya kukutana na kamati ya usalama wa Mkoa wa Kivu Kaskazini inayosimamiwa na Gavana wa Kivu Kaskazini, Meja Jenerali Peter Cirimwami siku ya Alhamisi, Jean – Pierre la Croix amesema kwa sasa ni muhimu kwa DRC na MONUSCO kushirikiana, kwani Umoja wa Mataifa umepewa mamlaka ya kuwasaidia wanajeshi wa SADC kifedha na huduma nyingine kwa ajili ya kurejesha amani na usalama mashariki mwa Congo.
“Kwa sasa tumepewa mamlaka ya kusaidia SAMIDRC kupitia MONUSCO kupitia njia za kidiplomasia na kisiasa na kuunga mkono juhudi za SADC na kikanda. Tunaunga mkono hata hivyo usitishwaji wa mapigano ambao umepunguza ghasia licha ya kuwepo matatizo madogo , kuna mambo mengi ya kufanya na hatuwezi kusema kwamba pande husika zimeheshimu kikamilifu sitisho la mapigano,” La Croix alisema.
La Croix alitembelea mkoa wa Ituri ambako kumekuwa kukiripotiwa mauaji kila siku na kulazimisha wakazi kuhama vijiji vyao.
Wakimbizi wa ndani katika mkoa huo wanakabiliwa na ukosefu wa misaada
Ripoti/ Picha na Mahojiano na Austere Malivika
21 Apr 2025
- Four Kenyans secured millions after their heroics at the oldest marathon in history.
21 Apr 2025
- President Ruto hopes to achieve several key economic milestones from his China trip.
21 Apr 2025
- The dollar sell-off on Monday has many experts worried.
22 Apr 2025
- Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
22 Apr 2025
- The papacy journey started with St. Peter, he who Christ christened as the rock of the Church.
22 Apr 2025
- Pope Francis touched down at the Jomo Kenyatta International Airport, minutes after 4 p.m. on the 25th of November, 2015, to a warm reception by the then President Uhuru Kenyatta.
22 Apr 2025
- Climate Scientists at the Igad Climate Predictions and Applications Center (ICPAC) are predicting that more than usual rainfall expected over most parts of Tanzania, Burundi, Rwanda, eastern Kenya, northern South Sudan and southern Sudan. “Moderate…
22 Apr 2025
- Role of Commissioner for Cooperatives questioned in Kuscco Sh13b saga
22 Apr 2025
- The inconvenient truth about devolution, the environment
22 Apr 2025
- Mwangangi named SHA boss as Ingasira takes over in Finance
22 Apr 2025
- Goodbye Pope: Pontiff hailed as moral icon and voice of the voiceless
22 Apr 2025
- Ruto takes Kenya's wishlist to Beijing as trade winds shift
22 Apr 2025
- MPs failed women by approving Cheptumo's nomination as CS