- 935 views
Rais William Ruto anashinikiza mageuzi katika baraza la usalama la Umoja wa Mataifa ili kukabili changamoto zinazoibuka. Rais amesema kuwa mfumo wa umoja wa mataifa ulioko sasa umeshindwa kukabiliana na migogoro inayoibuka na haswa suala la mabadiliko ya tabianchi , kutokuwa na usawa na madeni. Akizungumza kwenye mkutano wa marais ulioangazia mustakabali wa mataifa wanachama, Ruto amesema kuwa mageuzi yatazuia mgogoro wa kimataifa.
Ruto ataka mageuzi katika Baraza la Umoja wa Mataifa
- 24 Sep 2024 - Telegram's search feature "has been abused by people who violated our terms of service to sell illegal goods", Durov told the 13 million subscribers of his personal messaging channel.
- 24 Sep 2024 - In Nairobi, leaders from the Pentecostal Association have outrightly rejected the bill, demanding its withdrawal.
- 24 Sep 2024 - If passed, this motion would allow Senators to express their disapproval of Gachagua, differing from an impeachment motion that seeks the removal of an officeholder.
- 24 Sep 2024 - Attempts by Committee Chair Karungu wa Thangwa to restore order were met with hostility, prompting him to walk out of the session in protest.
- 23 Sep 2024 - The arrests are the result of investigations into allegations of corruption involving the theft of public funds intended to help low-income students in the county.
- 23 Sep 2024 - He said win highlights Tebboune’s dedication, visionary leadership
- 23 Sep 2024 - These are the stories making the headlines in the Star.
- 23 Sep 2024 - Says they'll serve as pathways to long-term career opportunities with global organisations
- 23 Sep 2024 - Varying standards curtail Kenyan insurers' regional foray
- 23 Sep 2024 - Power supply will be interrupted mostly from 9am to 5pm