- 454 views
Hoja ya kutokuwa na imani na utendakazi wa naibu rais Rigathi Gachagua iliyowasilishwa katika bunge la seneti na seneta Danstan Mungatana imeibua mdahalo mkali miongoni mwa wanasiasa huku baadhi wakisema hatua hiyo itaathiri shughuli za serikali. Baadhi ya wanasiasa walimkosoa naibu rais kwa madai ya kuikejeli serikali ambayo anahudumia huku viongozi wa kidini wakitoa wito wa kusitishwa kwa joto la kisiasa. Ripota wetu Joseph Wakhungu anachambua baadhi ya maoni hayo huku Wakenya wakisubiri uamuzi wa spika wa bunge la seneti kuhusu hatma ya hoja hiyo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Maoni mseto yaghubika hoja ya kutokuwa na imani na Gachagua
- 24 Sep 2024 - Telegram's search feature "has been abused by people who violated our terms of service to sell illegal goods", Durov told the 13 million subscribers of his personal messaging channel.
- 24 Sep 2024 - In Nairobi, leaders from the Pentecostal Association have outrightly rejected the bill, demanding its withdrawal.
- 24 Sep 2024 - If passed, this motion would allow Senators to express their disapproval of Gachagua, differing from an impeachment motion that seeks the removal of an officeholder.
- 24 Sep 2024 - DP Gachagua's impeachment talks reveal little sympathy for him
- 24 Sep 2024 - This is why I censure Gachagua, says Mungatana
- 24 Sep 2024 - KRA could miss out on millions in tax revenue from Zuku sale
- 24 Sep 2024 - Banks rush to comply with CBK rule on spying customer deals
- 24 Sep 2024 - A new report shows that spending on domestic and foreign travel increased by Sh6.97 to Sh27.34 billion from Sh20.37 billion in the financial year to June 2023.
- 24 Sep 2024 - Attempts by Committee Chair Karungu wa Thangwa to restore order were met with hostility, prompting him to walk out of the session in protest.
- 23 Sep 2024 - 356 dead in Israeli strikes on Hezbollah strongholds in Lebanon