- 8 views
Mikakati inayonuiwa kushughulikia changamoto zinazowaathiri watu wanaoishi katika maeneo ya mpakani katika upembe wa Afrika imeanzishwa. Mpango huo kwa jina The peaceful and Resilient Borderlands uliozinduliwa leo utashughulikia chanzo cha ukosefu wa uthabiti na vilevile kuimarisha maendeleo ya uchumi wa kijamii kwa minajili ya kudumisha amani na ufanisi. Waziri wa masuala ya kanda ya Afrika Mashariki na ustawishaji wa maeneo kame Beatrice Askul alisema Kenya inafanya juhudi za kuhakikisha jamii zinazoishi katika sehemu kame zinaishi kwa amani.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
IGAD yazindua mikakati ya kudumisha amani mipakani
- 24 Sep 2024 - Telegram's search feature "has been abused by people who violated our terms of service to sell illegal goods", Durov told the 13 million subscribers of his personal messaging channel.
- 24 Sep 2024 - In Nairobi, leaders from the Pentecostal Association have outrightly rejected the bill, demanding its withdrawal.
- 24 Sep 2024 - If passed, this motion would allow Senators to express their disapproval of Gachagua, differing from an impeachment motion that seeks the removal of an officeholder.
- 24 Sep 2024 - KRA could miss out on millions in tax revenue from Zuku sale
- 24 Sep 2024 - Banks rush to comply with CBK rule on spying customer deals
- 24 Sep 2024 - DP Gachagua's impeachment talks reveal little sympathy for him
- 24 Sep 2024 - This is why I censure Gachagua, says Mungatana
- 24 Sep 2024 - A new report shows that spending on domestic and foreign travel increased by Sh6.97 to Sh27.34 billion from Sh20.37 billion in the financial year to June 2023.
- 24 Sep 2024 - Attempts by Committee Chair Karungu wa Thangwa to restore order were met with hostility, prompting him to walk out of the session in protest.
- 23 Sep 2024 - 356 dead in Israeli strikes on Hezbollah strongholds in Lebanon