- 3,975 views
Kikao cha mahakama cha kusikiza kutimuliwa kwa gavana wa meru kawira mwangaza zimetatizwa baada ya wananchi waliokuwa wakifuatilia kesi hiyo kwa njia ya mtandao kutuma jumbe nyingi na kutatiza. Jaji Bahati Mwamuye aliagiza idadi ya watu wanaohudhuria kesi hiyo kupitia mtandao idhibitiwe ili nidhamu ya mahakama izingatiwe. mahakama imeruhusu kujumuishwa kwa baraza la magavana, FIDA na mpigakura mmoja kutoka kaunti ya Meru katika kesi hiyo. wahusika wametakiwa kuwasilisha stakabadhi na hatikiapo katika siku saba zijazo huku kesi ikipangiwa kuanza tarehe 8 oktoba. gavana Kawira Mwangaza anapinga uamuzi wa bunge la seneti lililoafikia kumwondoa ofisini baada ya bunge la kaunti ya meru kufanya hivyo.
Wananchi watatiza kesi ya kutimuliwa kwa gavana Mwangaza mtandaoni
- - SHA rollout concerns ››
- 25 Sep 2024 - The ongoing strike by UASU and KUSU, now in its second week, has severely disrupted learning activities across all public institutions of higher learning in Kenya.
- 25 Sep 2024 - EACC has arrested two KFS officers stationed in Garissa for their alleged involvement in a fraudulent scheme exploiting casual employees.
- 25 Sep 2024 - For months, the once-harmonious relationship between the two has soured, with Gachagua publicly admitting that he and the President no longer agree.
- 25 Sep 2024 - The Court of Appeal has given the greenlight for the Ethics And Anti-Corruption Commission (EACC) to investigate former Nairobi Governor Evans Kidero's bank accounts over allegations of abuse of office during his tenure.
- 25 Sep 2024 - Wiper party leader Kalonzo Musyoka and his DAP-K counterpart Eugine Wamalwa visited the Kibra constituency on Wednesday morning to protest the Kenya Kwanza regime's unpopular policies.
- 25 Sep 2024 - A petition has been filed in court challenging the appointment of Douglas Kanja as the Inspector General of Police.
- 25 Sep 2024 - According to the report, which is based on extensive research and interviews, six people were killed and 72 were either abducted or remain missing as a result of the protest, which was met with harsh police response.
- 25 Sep 2024 - A man was on Tuesday arrested allegedly demanding a Ksh.100,000 bribe while posing as a Nairobi County Government official.
- 25 Sep 2024 - While protesting, the learners faulted the school administration for failing to take action.
- 25 Sep 2024 - The 36-year-old Chinese national allegedly sent the threatening text message in 2022.