- 836 views
Wahadhiri wa chuo kikuu cha Moi, pamoja na Madaktari wameandamana jijini eldoret hii leo. wahadhiri wanalalamikia malipo yao kucheleweshwa. hii ni licha ya muungano wa wahadhiri hapo jana kutia saini mkataba wa kurejea nyumbani kufuatia mkutano na wizara ya leba ambapo muungano wa wahadhiri -uasu- ulitangaza kusitishwa kwa mgomo. aidha madaktari chini ya chama cha kmpdu nao pia wameandamana wakipinga mpango wa Bima ya matibabu SHIF. Madaktari hao wanasema kuwa mpango huo utawakandamiza wananchi. wanaitaka serikali kuweka mikakati ya kutosha kabla ya kuanza kutekeleza bima hiyo.
Wahadhiri wa Chuo Kikuu Cha Moi waandamana kupinga utekelezaji wa bima ya SHA
- 27 Sep 2024 - The Ministry of Health, through the Pharmacy and Poisons Board (PPB), has recalled a batch of 5mg Flamodip (Amlodipine) tablets used to treat conditions such as high blood pressure.
- 27 Sep 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja was on Friday put to task to explain the disparities in ethnic demographics of the employees of the Nairobi City County, where about 40% of the employees including the County Executive Committee Members are from the…
- 27 Sep 2024 - The Kenyan government has announced plans to deploy more immigration officers to its border points to prevent the spread of Mpox (monkeypox).
- 27 Sep 2024 - Three politicians allied to DP Rigathi Gachagua can now breathe a sigh of relief after the High Court in Nairobi on Friday issued temporary orders blocking their arrest, detention and prosecution.
- 27 Sep 2024 - Kenya is set to expand its tourism landscape by launching nine regional circuits under the Tembea Kenya initiative.
- 27 Sep 2024 - Parliamentary committee says total ban on TikTok in the country would stifle freedom of media and expression.
- 27 Sep 2024 - The Coast Civil Society Network for Human Rights (CCSNH) has urged the National Cohesion and Integration Commission (NCIC) to investigate politicians allegedly using bloggers to tarnish their opponents. The call comes amid escalating political tensions…
- 27 Sep 2024 - The Coast Civil Society Network for Human Rights (CCSNH) has urged the National Cohesion and Integration Commission (NCIC) to investigate politicians allegedly using bloggers to tarnish their opponents. The call comes amid escalating political tensions…
- 27 Sep 2024 - Church denies rumours of Cardinal John Njue's death
- 27 Sep 2024 - According to Mutua, Mt. Kenya leaders have a history of betrayal without facing consequences.