- 47 views
Timu ya soka inayoshiriki kwenye divisheni ya pili nchini, Nairobi United Fc, imenunuliwa na gavana wa Nairobi Johnson Sakaja.Klabu hii inayocheza katika ligi ya nsl sasa itapata sura mpya. Baadhi ya mabadiliko yanayotarajiwa ni usajili wa wachezaji, makocha na mameneja wapya, kando na kupokea vifaa vipya vya kufanya mazoezi. Pia sakaja ana mipango ya kuzindua uwanja wa kufanyia mazoezi kwa timu hii. Mazungumzo na mdhamini wa jezi ya timu hii yanaendelea kwa sasa na atazinduliwa hivi karibuni. Sakaja alisema kuwa ataendelea kuinua hadhi ya michezo hapa jijini kwa kujenga na kukarabati viwanja kama vile Dandora, Woodley na kihumbuini. Hafla hii ilifanyika leo mchana katika ofisi rasmi ya Gavana wa Nairobi. Dimba la soka la sakaja super cup litaanza mwezi ujao. __
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
Gavana Sakaja ainunua klabu ya Nairobi United FC
- 27 Sep 2024 - Hundreds estimated to be dying from starvation and hunger-related disease each day in war-torn Sudan.
- 27 Sep 2024 - Experts are calling on African countries to intensify efforts to combat fake news and prioritize the integration of technology and marketing in governance. Speaking at the annual ICTAK TICON Conference in Mombasa, they warned that misinformation poses a…
- 27 Sep 2024 - These are the stories making the headlines in the Star.
- 27 Sep 2024 - In 2019, about 8,500 Kenyans died of easily treatable diseases
- 27 Sep 2024 - They were charged with 18 counts, including identity theft, for the alleged "hack and leak" operation.
- 27 Sep 2024 - "We have had some discussions, and we will continue to have those discussions."
- 27 Sep 2024 - She says the Religious Organizations Bill, 2024, is sponsored by Senator Mungatana
- 27 Sep 2024 - The Directorate of Criminal Investigation (DCI) in Kenya has been ranked as the top investigative agency in Africa.
- 27 Sep 2024 - Safaricom, the largest telecommunications network provider in Kenya, intends to partner with tech juggernaut Elon Musk's Starlink that has disrupted the internet market owing to its competitive packages and faster internet speeds.
- 27 Sep 2024 - "I've not received this letter purportedly addressed to me, it's fake news."