- 137 views
Maafisa wa idara ya upelelezi wa jinai wanamsaka mbunge wa Embakasi ya kati Benjamin Gathiru al maarufu Mejja Dong na mwenzake wa Embakasi kaskazini James Gakuya, ambao wadaiwa kupanga maandamano ya vijana ambayo yaliishia na uvamizi wa bunge la kitaifa. Hii ni baada ya mkurugenzi wa mashtaka ya umma Renson Ingonga kuidhinisha mashtaka dhidi ya wabunge hao pamoja na aliyekuwa mbunge wa Embakasi Magharibi George Theuri, aliyekuwa mbunge wa Nyeri Mjini Ngunjiri Wambugu na katibu wa binafsi wa naibu rais Pius Munene. Na jinsi Abdiaziz Hashim anavyotuarifu, mahakama tayari imetoa maagizo ya kuzuia kwa muda kukamatwa, kuzuiliwa au kushtakiwa kwa Theuri, Ngunjiri na Munene.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
DCI yawasaka wabunge wawili wanaodaiwa kufadhili maandamano ya Gen-Z
- 28 Sep 2024 - The implementation of the Social Health Insurance Fund (SHIF) is in complete disarray as members of the public infiltrated virtual training sessions meant for public health officials across the country regarding the registration and use of the new…
- 28 Sep 2024 - The Law Society of Kenya (LSK) has filed a contempt of court application against Inspector General of Police Douglas Kanja.
- 27 Sep 2024 - The National Transport and Safety Authority (NTSA) has suspended the operating licenses of 121 Public Service Vehicle (PSVs) operators for flouting traffic regulations.
- 27 Sep 2024 - Hundreds estimated to be dying from starvation and hunger-related disease each day in war-torn Sudan.
- 27 Sep 2024 - Experts are calling on African countries to intensify efforts to combat fake news and prioritize the integration of technology and marketing in governance. Speaking at the annual ICTAK TICON Conference in Mombasa, they warned that misinformation poses a…
- 27 Sep 2024 - These are the stories making the headlines in the Star.
- 27 Sep 2024 - In 2019, about 8,500 Kenyans died of easily treatable diseases
- 27 Sep 2024 - They were charged with 18 counts, including identity theft, for the alleged "hack and leak" operation.
- 27 Sep 2024 - "We have had some discussions, and we will continue to have those discussions."
- 27 Sep 2024 - She says the Religious Organizations Bill, 2024, is sponsored by Senator Mungatana