- 138 views
Mahakama kuu imeagiza idara ya upelelezi wa jinai kuwasilisha ripoti ya kina kuhusu kutoweka kwa mwakilishi wadi wa Dela Yussuf Hussein tarehe 4 mwezi Oktoba mwaka huu. Jaji Alexander Muteti alisema masuala ya haki za binadamu yanafaa kuzingatiwa na kuagiza polisi kuharakisha shughuli hiyo kwa kutumia mbinu zote zilizopo. Yusuf alitekwa nyara mnamo tarehe 13 mwezi Septemba katika barabara ya Enterprise jijini Nairobi alipokuwa kwenye teksi.Taarifa kamili ni kwenye mizani ya haki.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Idara ya upelelezi yaagizwa kutoa ripoti kuhusu kutoweka kwa mwakilishi wadi wa Dela
- 28 Sep 2024 - The implementation of the Social Health Insurance Fund (SHIF) is in complete disarray as members of the public infiltrated virtual training sessions meant for public health officials across the country regarding the registration and use of the new…
- 28 Sep 2024 - The Law Society of Kenya (LSK) has filed a contempt of court application against Inspector General of Police Douglas Kanja.
- 27 Sep 2024 - The National Transport and Safety Authority (NTSA) has suspended the operating licenses of 121 Public Service Vehicle (PSVs) operators for flouting traffic regulations.
- 27 Sep 2024 - Hundreds estimated to be dying from starvation and hunger-related disease each day in war-torn Sudan.
- 27 Sep 2024 - Experts are calling on African countries to intensify efforts to combat fake news and prioritize the integration of technology and marketing in governance. Speaking at the annual ICTAK TICON Conference in Mombasa, they warned that misinformation poses a…
- 27 Sep 2024 - These are the stories making the headlines in the Star.
- 27 Sep 2024 - In 2019, about 8,500 Kenyans died of easily treatable diseases
- 27 Sep 2024 - They were charged with 18 counts, including identity theft, for the alleged "hack and leak" operation.
- 27 Sep 2024 - "We have had some discussions, and we will continue to have those discussions."
- 27 Sep 2024 - She says the Religious Organizations Bill, 2024, is sponsored by Senator Mungatana