- 156 views
Je, unafahamu magonjwa ya wanyama yanayoathiri watu? Ugonjwa wa kichaa cha mbwa husambazwa mtu akiumwa Popo pia wanaweza kusambaza kicha cha mbwa Ndege wanaofugwa nyumbani pia husambaza magonjwa Ugonjwa unaosambazwa na ndege wa kufugwa ni "psittacosis" Paka husambaza ugonjwa wa "cat scratch disease" Ugonjwa wa "Cat Scratch Disease" husababisha kujikuna Ugonjwa huu husambazwa kwa kuumwa au kukwangurwa "Trichinosis" husababishwa na kula wanyama wa porini Ugonjwa wa kichaa cha mbwa hauna tiba ulimwenguni Mtu anaweza kupewa dawa kuzuia tu maumivu makali Mtu aliyepata kichaa cha mbwa mwishowe hufariki Ugonjwa wa kimeta pia unaweza kusambazwa kwa watu Ulaji wa nyama iliyo na kimeta ni hatari kwa binaadamu
| JUKWAA LA AFYA | Magonjwa Yanayosambazwa na Wanyama [Part 3]
- - 🔴 LIVE | News Now ››
- 1 Oct 2024 - Makueni Senator Dan Maanzo has filed a censure motion against President William Ruto for what he terms questionable conduct while in office.
- 1 Oct 2024 - The Senate Committee on Health is hearing a petition on medical negligence at the Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH) which lead to the death of a child in May 2021.
- 1 Oct 2024 - The Senate Labour Committee, chaired by West Pokot Senator Julius Murgor, was forced to take action after Guyo failed to appear to answer questions about his employment status in the devolved unit.
- 1 Oct 2024 - In a fresh turn of events, prominent businessman David Langat has distanced himself from the controversial arrest of political activist Morara Kebaso.
- 1 Oct 2024 - Busia Senator Okiya Omtatah and two others have moved to court to block the roll-out of the contentious Social Health Insurance Fund (SHIF) ahead of its scheduled launch on Tuesday.
- 1 Oct 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua will face his moment of truth on Tuesday ahead of the impeachment motion that is set to be tabled before Parliament.
- 1 Oct 2024 - NAIROBI, Kenya, Oct 1 – An impeachment motion against Deputy President Rigathi Gachagua has been formally tabled in Parliament, marking the beginning of the process. The motion, brought forward by Kibwezi West MP Mwengi Mutuse, accuses the DP of over 10…
- 1 Oct 2024 - The fourth suspect in the West Pokot Ksh.296 million bursary theft, Simon Kachapin Kodomuk, has been arrested in Eldoret. Kodomuk, who has been on the run to evade EACC arrest, served as Chief Officer for Education when the fraudulent scheme to embezzle…
- 1 Oct 2024 - Morara Kebaso freed on Sh50,000 bail
- 1 Oct 2024 - SHA: Access to dialysis, cancer, and maternity services guaranteed