- 211 views
Shughuli ya bunge ya kukusanya maoni kuhusu hoja ya kumng'atia naibu rais Rigathi Gachagua imekamilika leo huku idadi ya wakenya inayomtaka rais William Ruto aondolewa ofisini pamoja na naibu wake ikiongezeka. Wakenya hao waliozungumza katika vikao vya umma vilivyofanyika katika maeneo mbali mbali nchini wamesema kuwa utakuwa ni ubinafsi mkubwa endapo Gachagua atabanduliwa ofisini peke yake bila ya rais aliyechaguliwa naye.
Shughuli ya bunge ya kukusanya maoni kuhusu hoja ya kumng'atia naibu rais Gachagua yakamilika
- 7 Oct 2024 - Timothy Mule, the boda boda operator accused of raping a client in Machakos County, will remain in custody for 14 days, Machakos senior principal magistrate James Obura on Monday ruled.
- 7 Oct 2024 - Agencies under the United Nations have officially unveiled the DigiKen initiative, a project aimed at supporting the development of homegrown digital platforms that can contribute to Kenya's sustainable social and economic development.
- 7 Oct 2024 - Kenyan researcher TIFA has said that 41% of Kenyans support the impeachment motion against Deputy President Rigathi Gachagua according to their recent survey.
- 7 Oct 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua is set to hold a press conference on Monday evening, hours before his impeachment motion is debated in the National Assembly.
- 7 Oct 2024 - Wajir Governor Ahmed Abdullahi has been elected as the new Chairperson of the Council of Governors (CoG).
- 7 Oct 2024 - This comes barely a week after the nationwide SHA roll-out kicked off on October 1.
- 7 Oct 2024 - The authority says beautification of the 31 kilometre stretch from Athi River to Westlands will be done by two contractors.
- 7 Oct 2024 - Growing up in south western part of Kenya, he knew he would become a medical doctor.
- 7 Oct 2024 - Former Kiambu Governor William Ruto has lifted the lid on circumstances under which President William Ruto picked Rigathi Gachagua as his deputy.
- 7 Oct 2024 - Shebesh is up against several other big names including former MPs for the job.