Wanabiashara walalamikia hali ya kisiasa nchini

  • | KBC Video
    51 views

    Baadhi ya wafanyabiashara sasa wanasema kwamba joto la kisiasa linaathiri mazingira ya biashara humu nchini. Uchunguzi uliofanywa na runinga ya KBC channel one katika kaunti ya Kiambu, ulifichua kuwa wafanyabiashara wengi wanatatizika kuendeleza biashara zao huku wengi wao wakiwa bado hawarejea katika hali yao ya kawaida kutokana na matatizo mbalimbali ambayo yameshuhudiwa humu nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2022. Na kama Fredrick Parsayo anavyotuleza, wafanyabiashara wameelezea hali ya kukata tamaa kutokana na hali ya sasa ya kisiasa kuhusiana na kuondolewa mamlakani kwa naibu rais Rigathi Gachagua na uwezekano wake wa kuathiri vibaya imani ya wawekezaji katika taifa hili.

    Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/

    #kbcchannel1 #news #kbclive