- 49 views
Shirika lisilo la kiserikali linalotoa hamasisho dhidi ya ulanguzi wa binadamu lenye makao yake jijini Nairobi kwa ushirikiano na shirika la Polish Aid, limezindua mradi wa kuwapa waathiriwa ujuzi muhimu wa kibiashara na usaidizi wa kiuchumi Hadi kufikia sasa, waathiriwa 60 wamepokea msaada kutoka kwa mashirika hayo mawili kupitia ubalozi kwa Jamhuri ya Poland humu nchini. Msaada huo ni sehemu ya mpango makhsusi ulioanzishwa mnamo mwaka wa 2010 ambao unanuiwa kutambua na kusaidia zaidi ya waathiriwa 1000 wa ulanguzi wa binadamu. Wanaonufaika wanatumia misaada hiyo pamoja na ujuzi kufanikisha maisha yao na kuchangia ukuaji wa kiuchumi pamoja na kuzisaidia jamii zao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mashirika ya HAART na Polisi Aid yawasaidia waathiriwa ulanguzi wa binadamu
- 24 Oct 2024 - As the world marks the 12th International Lead Poisoning Prevention Week of Action, the Ministry of Health has announced its plan to combat Lead emissions in the country.
- 24 Oct 2024 - The mother of a teenager who is said to have killed himself after becoming obsessed with an artificial intelligence-powered chatbot now accuses its maker of complicity in his death.
- 24 Oct 2024 - Two independent DNA tests have conclusively determined that the body recovered from Lake Yahud is not that of missing Wajir MCA Yusuf Hussein Ahmed.
- 24 Oct 2024 - The Judiciary has announced a system intermittent outage that has affected critical operations such as efiling, case tracking and causelist systems.
- 24 Oct 2024 - The IMF had proposed several conditions including tax measures that saw the country plunge into chaos in June this year.
- 24 Oct 2024 - The new framework is expected to make the social protection system more inclusive.
- 24 Oct 2024 - 23 MCAs backed his ouster while 11 abstained.
- 24 Oct 2024 - . In Kenya, 23% of women aged 20-24 were married before their 18th birthday, accounting for 4.2 million child brides. Neighboring countries face similar challenges: 17.3 million child brides in Ethiopia, 1.4 million in Somalia, and 1.3 million in South…
- 24 Oct 2024 - Jihan Freighters Limited was a tenant of the corporation but was evicted so the government can store fertiliser in it.
- 24 Oct 2024 - President William Ruto says the newly formed Social Health Authority (SHA) will expand access to affordable healthcare for millions of Kenyans. Speaking during the launch of the Tenwek Mission Hospital Cardiothoracic Centre in Bomet, Ruto said SHA will…