- 48 views
Umma umetahadharishwa dhidi ya kununua rangi ambazo hazijafikia viwango vilivyowekwa na serikali na ambazo zinaweza kuwasababishia madhara ya sumu ya risasi au lead. Akizungumza jijini Nairobi wakati wa maadhimisho ya wiki ya kuzuia madhara ya sumu ya risasi, katibu katika idara ya afya ya umma Mary Muthoni alisema kituo cha kushughulikia haki kwa mazingira na maendeleo, CEJAD, alisema kwamba rangi zilizotengenezewa humu nchini katika miaka ya 2013, 2019 na 2021, zilikuwa na kiwango kikubwa cha risasi. Muthoni aliongeza kuwa athari zinazotokana na sumu ya risasi ni kama vile matatizo ya kiakili kwa watoto na utasa au mimba kuharibika miongoni mwa wanawake wajawazito. Alitoa wito kwa uchunguzi wa mapema ili kubaini viwango vya sumu ya risasi katika damu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wakenya waonywa kuhusu rangi iliyo na madini ya risasi
- 24 Oct 2024 - As the world marks the 12th International Lead Poisoning Prevention Week of Action, the Ministry of Health has announced its plan to combat Lead emissions in the country.
- 24 Oct 2024 - The mother of a teenager who is said to have killed himself after becoming obsessed with an artificial intelligence-powered chatbot now accuses its maker of complicity in his death.
- 24 Oct 2024 - Two independent DNA tests have conclusively determined that the body recovered from Lake Yahud is not that of missing Wajir MCA Yusuf Hussein Ahmed.
- 24 Oct 2024 - The Judiciary has announced a system intermittent outage that has affected critical operations such as efiling, case tracking and causelist systems.
- 24 Oct 2024 - The IMF had proposed several conditions including tax measures that saw the country plunge into chaos in June this year.
- 24 Oct 2024 - The new framework is expected to make the social protection system more inclusive.
- 24 Oct 2024 - 23 MCAs backed his ouster while 11 abstained.
- 24 Oct 2024 - Jihan Freighters Limited was a tenant of the corporation but was evicted so the government can store fertiliser in it.
- 24 Oct 2024 - President William Ruto says the newly formed Social Health Authority (SHA) will expand access to affordable healthcare for millions of Kenyans. Speaking during the launch of the Tenwek Mission Hospital Cardiothoracic Centre in Bomet, Ruto said SHA will…
- 24 Oct 2024 - President William Ruto says the newly formed Social Health Authority (SHA) will expand access to affordable healthcare for millions of Kenyans. Speaking during the launch of the Tenwek Mission Hospital Cardiothoracic Centre in Bomet, Ruto said SHA will…