- 29 views
Serikali ya kaunti ya Kiambu imeanzisha mradi wa ujenzi wa barabara na kukita taa 40 za barabarani katika mtaa ya mabanda wa Umoja katika maispaa ya Thika , hii ikiwa ni awamu ya pili ya mradi wa kuboresha mazingira ya mitaa ya mabanada na kuinua viwango vya maisha ya wakazi wa mitaa hiyo.Barabara hizo mpya zitakuwa na taa 36 za barabarani zinazotumia kawi ya miale ya jua ,mfumo mwafaka wa mitaro ya kuondoa maji taka na njia za watu wanotembea kwa miguu .Mradi huo utaimarisha usalama wakati wa usiku na kuongeza muda wa kufanya biashara na hivyo kuimarisha shughuli za kibiashara katika eneo hilo
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kaunti ya Kiambu yajenga barabara na kuweka taa
- 24 Oct 2024 - As the world marks the 12th International Lead Poisoning Prevention Week of Action, the Ministry of Health has announced its plan to combat Lead emissions in the country.
- 24 Oct 2024 - The mother of a teenager who is said to have killed himself after becoming obsessed with an artificial intelligence-powered chatbot now accuses its maker of complicity in his death.
- 24 Oct 2024 - Two independent DNA tests have conclusively determined that the body recovered from Lake Yahud is not that of missing Wajir MCA Yusuf Hussein Ahmed.
- 24 Oct 2024 - The Judiciary has announced a system intermittent outage that has affected critical operations such as efiling, case tracking and causelist systems.
- 24 Oct 2024 - The IMF had proposed several conditions including tax measures that saw the country plunge into chaos in June this year.
- 24 Oct 2024 - The new framework is expected to make the social protection system more inclusive.
- 24 Oct 2024 - 23 MCAs backed his ouster while 11 abstained.
- 24 Oct 2024 - . In Kenya, 23% of women aged 20-24 were married before their 18th birthday, accounting for 4.2 million child brides. Neighboring countries face similar challenges: 17.3 million child brides in Ethiopia, 1.4 million in Somalia, and 1.3 million in South…
- 24 Oct 2024 - Jihan Freighters Limited was a tenant of the corporation but was evicted so the government can store fertiliser in it.
- 24 Oct 2024 - President William Ruto says the newly formed Social Health Authority (SHA) will expand access to affordable healthcare for millions of Kenyans. Speaking during the launch of the Tenwek Mission Hospital Cardiothoracic Centre in Bomet, Ruto said SHA will…