Mashambulizi yaliyofanywa na Israel yaua Wapalestina 47, darzeni wajeruhiwa
Wapalestina 47 wameuawa na darzeni kujeruhiwa, wengi wao wakiwa watoto na wanawake katika mashambulizi ya usiku wa kuamkia Ijumaa yaliyotekelezwa na Israel katikati mwa ukanda wa Gaza.
Shirika la habari la Palestina WAFA, limeripoti kwamba mashambulizi yametokea katika mji wa Deir Al-Balah, kambi ya Nuseirat, na katika mji wa Al-Zawayda.
Jeshi la Israel limesema wanajeshi wake wamewalenga na kuwaua magaidi kadhaa waliokuwa wamejihami katikati mwa Gaza na kuua darzani kadhaa katika sehemu ya Jabalia, kaskazini mwa Gaza.
Vita vya Gaza vilianza baada ya wanamgambo wa Hamas kushambulia Israel Oktoba 7 2023 na kuua watu 1,200, kuteka nyara 251 na kurudi nao Gaza.
Mashambulizi ya Israel katika Gaza yameua zaidi ya wapalestina 43,000 na kuharibu kabisa sehemu hiyo. - Reuters
21 Apr 2025
- The former CS claims that the former Deputy President, Rigathi Gachagua, confronted the CS over his dismissal.
21 Apr 2025
- Pope Francis was the 266th Pope of the Catholic Church.
21 Apr 2025
- The former cabinet secretary decried a lack of autonomy in making major appointments.
21 Apr 2025
- Here are some key dates in the life of Pope Francis, the first Jesuit and Latin American pope, who died on Monday aged 88:
21 Apr 2025
- Pope Francis, the first Latin American leader of the Roman Catholic Church, has died, the Vatican said in a video statement on Monday.
21 Apr 2025
- Embakasi East Member of Parliament (MP) Babu Owino has suggested a potential joint presidential bid in 2027 with his Kiharu counterpart Ndindi Nyoro.
21 Apr 2025
- The former CS claims that the former Deputy President, Rigathi Gachagua, confronted the CS over his dismissal.
21 Apr 2025
- Pope Francis has died. Cardinal Kevin Ferrell, the Vatican camerlengo, announced that the Pope passed away on Easter Monday at the age of 88, at his residence in the Vatican’s Casa Santa Marta. “Dearest brothers and sisters, with deep sorrow I must…
21 Apr 2025
- A number of people are feared dead after a septic tank collapsed beneath a local football viewing hall in Bamburi Mwisho area, Nyali Constituency, Mombasa County.
21 Apr 2025
- He recently survived a serious bout of double pneumonia.
21 Apr 2025
- Pope Francis, the first Jesuit and first Latin American pontiff, has died aged 88 in Rome, Vatican officials announced on Easter Monday.
21 Apr 2025
- The Pope passed on at his residence in Casa Santa Marta, the Vatican confirmed on Easter Monday.
21 Apr 2025
- How to tackle the ‘gender play gap’: Four ways to encourage young women back into sport