Skip to main content
Skip to main content

Ahadi 5 tata za wagombea urais Zanzibar

  • | BBC Swahili
    8,900 views
    Duration: 2:09
    ‘Mtu hataruhusiwa kunywa pombe bila ya kuwa na leseni rasmi ya ulevi’ hii ni moja ya ahadi tata iliyotolewa na mgombea urais Zanzibar Mwandishi wa BBC @Elizabeth Kazibure anatueleza ahadi 5 tata za wagonbea urais visiwani Zanzibar - - #bbcswahili #zanzibar#siasa #uchaguzi2025