Al-Jazeera: Mwandishi na mpiga picha wauwawa katika shambulizi la Israel
Kituo cha televisheni cha Qatar Al Jazeera kimesema Jumatano (Julai 31) kuwa mwandishi wake Ismail al-Ghoul na mpiga picha Ramy El Rify waliuwawa katika shambulizi lililofanywa na Israel mjini Gaza City.
Anas Al-Sharif, rafiki wa waandishi wawili waliofariki, aliiambia Al-Jazeera kuwa Ghoul na Rifi walikuwa wako kazini wakipiga picha karibu na nyumba ya Ismail Haniyeh, kamanda wa Hamas aliyeuwawa Iran mapema Jumatano katika shambulizi ambalo kikundi hicho cha Hamas kinailaumu Israel.
Ofisi ya habari ya serikali ya Gaza inayoendeshwa na Hamas ilisema vifo vipya hivyo vimeongeza idadi ya waandishi wa habari waliouwawa katika mashambulzii ya Israeli kufikia 165 tangu vita kuanza Oktoba 7.
Shambulizi la Israeli huko Gaza kulipiza kisasi lilianza siku hiyo hiyo kwa kushambulia kwa mabomu na limeendelea kwa miezi tisa pamoja na uvamizi wa ardhini ambapo mamlaka za afya Palestina zinasema imeuwa zaidi ya watu 38,000 na kujeruhi zaidi ya watu 80,000. - Reuters
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #hospitali #nasserhospital #unrwa #nuseirat #mwandishi #aljazeera
22 Apr 2025
- The KeNHA boss noted the new regulations were meant to support the Authority to deliver on its mandate.
22 Apr 2025
- Hanifa is among those who have landed roles at NMG
22 Apr 2025
- The amendment has been the subject of controversy since last year.
22 Apr 2025
- Residents of Mwea constituency in Kirinyaga county have raised concerns over the rise of donkey theft in the region.
22 Apr 2025
- Nominated Senator Gloria Orwoba has criticised the newly sworn-in Gender Cabinet Secretary (CS) Hanna Cheptumo over her suitability for the role.
22 Apr 2025
- Cardinals gathered Tuesday at the Vatican to begin scheduling Pope Francis’ funeral and burial, planning the conclave to elect his successor and making other decisions about running the Catholic Church as world leaders and ordinary faithful grieved the…
22 Apr 2025
- The Vatican published Tuesday a photo and video of Pope Francis in his open coffin, dressed in a red robe with the papal mitre on his head and a rosary in his hand.
22 Apr 2025
- Two people have been shot dead while two other sustain gunshot injuries at Loberer, Baringo County on Monday.
22 Apr 2025
- Health Cabinet Secretary Hon. Aden Duale has issued a strong warning to the Kenya Medical Practitioners and Dentists Council (KMPDC) regarding the licensing of unqualified and non-compliant medical facilities. He stressed that any compliance or…
22 Apr 2025
- The KeNHA boss noted the new regulations were meant to support the Authority to deliver on its mandate.
22 Apr 2025
- Hanifa is among those who have landed roles at NMG
22 Apr 2025
- According to the Daily System Operation and Dispatch Analysis Report, last week, geothermal power plants contributed the highest in the generation mix.
22 Apr 2025
- The amendment has been the subject of controversy since last year.