- 140 viewsMaelfu ya Wairan wameadhimisha siku ya Ashura Jumanne (Julai 16), sikukuu ya kidini ya kumuenzi Imam Hussein aliyekufa shahidi, ambaye ni mjukuu wa Mtume Muhammad. Ashura, ni maadhimisho ya kila mwaka ambapo watu huonyesha michezo yenye kuvutia na kuigiza Vita vya Kerbala ambavyo Imam Hussein alifariki, inafanyika katika siku ya kumi ya mwezi wa Muharram, mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiislam. Waislam wa madhehebu ya Shia waliandamana mitaani wakifanya maigizo, kuchoma hema ikiwa ni ishara ya kuigiza shida alizozipata Imam Hussein, na kupaza sauti wakiomba. “Kulingana na mazingira ya Wapalestina na Gaza, na matukio yanayofanyika hivi sasa, kuwatetea watu wasiokuwa na hatia ni ujumbe muhimu zaidi unaotakiwa kupelekwa kote,” alisema moja wa waumini Bi Mortazavi. Vita hiyo viligawanya madhehebu ya Shia na Sunni. -Reuters #wairan #iran #kerbala #maadhimisho #muharam #ashura #imamhussein #voa #voaswahili
Ashura: Igizo la vita vya Kerbala na kifo cha Imam Hussein
- 22 Apr 2025 - The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has launched a probe into an incident where a woman was allegedly assaulted by a police officer in Narok when she went to record a statement.
- 22 Apr 2025 - Titus Wekesa Sifuna, has been arraigned before the Milimani Law Courts under a miscellaneous application.
- 22 Apr 2025 - Kariobangi North Member of County Assembly Joel Munuve has passed away.
- 22 Apr 2025 - Harvard University sued on Monday to block U.S. President Donald Trump from freezing billions of dollars in federal funding after the elite research institution rejected a list of White House demands that it said would undermine its independence.
- 22 Apr 2025 - The former prime minister has found himself caught up in the news surrounding the death of Pope Francis.
- 22 Apr 2025 - The National Assembly Health Committee has set up an inquiry committee to probe the kidney transplant scandal at Mediheal Hospital in Eldoret.
- 22 Apr 2025 - Nakuru County has issued a 21-day public notice for the disposal of 59 unclaimed bodies that have remained in two major public morgues for over three months. The notice, signed by County Public Health Officers Beatrice Oyiengo and Rachael Mwangi,…
- 22 Apr 2025 - The media house has been grappling with a cash crunch for years now.
- 22 Apr 2025 - Pope Francis died on April 21
- 22 Apr 2025 - Lawmakers respond to outrage over delays in the processing of the crucial documents.