Canada na Mexico zimetangaza ushuru kwa bidhaa za Marekani, ikiwa ni kulipiza kisasi kwa nchi hiyo, baada ya ushuru wa asilimia 25 wa Washington kwa nchi hizo mbili kuanza kutekelezwa Jumanne. Waziri wa Biashara wa Marekani Howard Lutnick amesema kuwa Rais Trump pengine atatangaza mpango wa kupunguza ushuru kwa Canada na Mexico. Lakini Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada ameiambia BBC ofisi yake haijapata taarifa kuhusiana na mpango huo.
2 Apr 2025
- A video of Samuel da Silva dos Santos holding the baby girl found in a box on a street strewn with trash went viral on social media, sparking a mixture of joy and indignation in the Brazilian seaside city.
2 Apr 2025
- Health officials and police have scrambled to explain the mix-up, which has appalled political leaders and stoked outrage across the country.