- 100 views
Kizaazaa kimezuka katika bunge la kaunti ya Machakos ambapo baadhi ya wawakilishi wadi wamejeruhiwa na kukimbizwa hospitalini. vurugu zilizuka baada ya makundi mawili kutofautiana kuhusu hatua ya kumtimua mamlakani spika wa bunge hilo Anne Kiusya huku kundi jingine likitaka kuanzisha hoja ya kumg'oa mamlakani gavana Wavinya Ndeti. Aidha, hoja ya kumtimua kiongozi wa wachache bungeni humo Mbili Wa Ndawa ilikuwa ijadiliwe kabla ya zogo kutibuka. maafisa wa polisi wamezingira majengo ya bunge la kaunti ya Machakos kudumisha usalama, huku shughuli zote zikisitishwa kwa sasa.
Baadhi ya wawakilishi wadi wajeruhiwa kwenye zogo katika bunge la kaunti ya Machakos
- - Duniani Leo ››
- 17 Apr 2025 - Israel said Wednesday it would keep blocking humanitarian aid entering Gaza, where a relentless military offensive has turned the Palestinian territory into a "mass grave", a medical charity said.
- 17 Apr 2025 - The European Commission on Wednesday included countries such as Egypt and Tunisia, where human rights have come under scrutiny, on a list of "safe countries" to which failed asylum seekers could be returned.
- 17 Apr 2025 - The Nairobi Government has rejected the closure of Lang’ata Cemetery, saying the decision can only be made by City Hall when an alternative burial site is provided. Reacting to the recent findings by the Ministry of Health that the facility has…
- 17 Apr 2025 - Head of Presidential Special Projects and Creative Economy, Dennis Itumbi, has condemned the violence meted out on Butere Girls Secondary School students while trying to play the Echoes of War play, citing that it was unnecessary.
- 17 Apr 2025 - Lawmakers yesterday told off National Treasury Cabinet Secretary John Mbadi over his explanations that ‘liquidity’ challenges are to blame for the delays in releasing the National Government Constituency Development Fund (NG-CDF). This is after Mbadi,…
- 17 Apr 2025 - President Donald Trump called Harvard a "joke" Wednesday and said it should lose its government research contracts after the top US university refused to accept demands to come under outside political supervision.
- 17 Apr 2025 - Proposed formula of sharing revenue unfair to Coast counties
- 17 Apr 2025 - Lame duck: MPs clear Cheptumo, Ruku for Cabinet amid outrage
- 17 Apr 2025 - Absa Bank's home loan financing to tackle home affordability and access
- 17 Apr 2025 - Court declines to stay order barring sale of State assets