- 243 viewsMahitaji mbalimbali ya zao la kakao katika soko la dunia limepelekea bei ya zao hilo kubakia wakati wote juu, lakini hakuna kiasi cha kutosha ya zao hilo kuuzwa katika mkoa kusini magharibi wa Cameroon, ambalo awali lilikuwa ni bonde kuu la uzalishaji kakao katika taifa hilo. Hii ni kutokana na vita vya silaha vilivyo yakumba maeneo ya Kaskazini magharibi na Kusini magharibi, mikoa miwili inayozungumza Kiingereza, tangu mwaka 2017, na kuwalazimisha wakulima kadhaa kuhamia maeneo mengine. Kama anavyorepoti Njodzeka Danhatu kutoka Buea, mkoa wa Kusini magharibi mwa Cameroon, baadhi ya wakulima wameanza hivi sasa kurejea katika maeneo yao. Kilo moja ya kakao ambayo ilikuwa inauzwa kwa dola moja ya Marekani. Inauzwa kwa dola tisa za Marekani hivi leo, bei ya juu zaidi kuwahi kushuhudiwa katika taifa hilo la Afrika ya Kati. Serikali inawapa wakulima wa maeneo hayo ushauri juu ya namna ya kutumia fedha hizo zinazotokana na kakao kuondokana na umaskini. #cocoa #cameroon #farming #voa
Bei ya Kakao yaongezeka zaidi huku vita Cameroon ikiyumbisha upatikanaji wake
- 23 Apr 2025 - Several world leaders have announced they will travel to Rome for Pope Francis's funeral on Saturday, which is likely to also draw a huge crowd in the square in front of St Peter's Basilica at the Vatican.
- 23 Apr 2025 - Prince William will represent Britain's royal family at the funeral of Pope Francis at the Vatican on Saturday, Kensington Palace said Tuesday.
- 23 Apr 2025 - The elusive dream: Is the world ready for a Pope from 'fast rising' Africa?
- 23 Apr 2025 - Minty business: Local farmer mints cash from fragrant crop
- 23 Apr 2025 - Orengo speaks language of integrity in a betrayed nation
- 23 Apr 2025 - Shilling's rally set for dividends season dollar demand test
- 23 Apr 2025 - MPs launch probe into kidney trade claims
- 23 Apr 2025 - Over 19,000 documents uncollected as CS Ruku vows to streamline Huduma Centres
- 23 Apr 2025 - Kenya to miss papal conclave as Cardinal Njue exceeds voting age limit of 80 years
- 23 Apr 2025 - CoG: William Ruto a threat to devolution