- 23 views
Kenya inadhamiria kuongeza maradufu kiwango cha uwekezaji wa moja kwa moja kutoka China na Marekani hadi dola bilioni-1.6 katika nyanja mbali mbali yakiwemo maonesho ya kiuchumi na kibiashara baina ya China na Afrika ambayo yamevutia zaidi ya kampuni mia tatu kutoka China. Waziri wa uwekezaji na biashara, Rebecca Miano amesema kwamba kupitia maonesho hayo ya kibiashara bara la Afrika limeafikia mikataba kumi na kampuni za China zinazoshughulika na kilimo na utayarishaji bidhaa, huduma za matibabu na teknolojia za mitambo ya barafu. Taarifa kamili ni kwenye mseto wa Biashara.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Biashara I Kenya kuongeza kiwango cha uwekezaji wa moja kwa moja kutoka China na Marekani
- - Iran's Raisi dead ››
- - House of betrayal? ››
- 20 May 2024 - Foreign Affairs Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has eulogised late Iranian President Ebrahim Raisi who perished in a chopper crash on Sunday evening.
- 20 May 2024 - A Ugandan national who is alleged to have killed his employer at Kombo-ini village in Kirinyaga County has been arrested.
- 20 May 2024 - The Palestinian Islamist group Hamas mourned on Monday the death of Iranian President Ebrahim Raisi, who it said had supported the Palestinian people during the current war with Israel.
- 20 May 2024 - South Africa's top court ruled on Monday that former president Jacob Zuma was not eligible to run for parliament in this month's election, a closely-watched decision as it could affect the outcome.
- 20 May 2024 - President William Ruto has mourned his Iranian counterpart Ebrahim Raisi who died in a helicopter crash on Sunday, May 19.
- 20 May 2024 - A 29-year-old woman accused of killing her husband has been found guilty of murder by the Eldoret High Court.
- 20 May 2024 - The judges of the ICC will decide whether the request is approved.
- 20 May 2024 - The International Criminal Court has issued arrest warrants against Israel Prime Minister Benjamin Netanyahu and the country’s Defence Minister Yoav Gallant.
- » Waiguru installs AI system at Kimbimbi Hospital’s radiology department to enhance disease detection20 May 2024 - Kirinyaga County Governor, Anne Waiguru, has installed the first Artificial Intelligence (AI) system to enhance disease diagnostic services in the county. The system that has been installed at Kimbimbi Level Four Hospital’s radiography department, is…
- 20 May 2024 - The Kenya Meteorological Department has warned of enhanced rainfall in some of the parts of the country due to a tropical storm over the South-West Indian Ocean.