- 365 views
Rais William Ruto ametoa wito kwa mataifa ya bara Afrika kutumia fursa ya Shirikisho la Biashara Huria barani humu ili kuharakisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Rais Ruto amesema kuwa kutokana na mivutano ya kisiasa inayoshuhudiwa ulimwenguni, biashara baina ya mataifa ya Afrika inasalia kuwa nguzo pekee ya kusukuma gurudumu la ustawi wa bara hili. Rais alisema haya wakati wa ufunguzi wa kongamano la mwaka huu la Shirikisho La Wenye Biashara Na Viwanda Duniani Jijini Nairobi. Ukina wa taarifa hii ni kwenye kitengo cha Kapu la Biashara.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Biashara I Mataifa ya Afrika yashauriwa kutafuta mbinu za kujitegemea
- 18 Apr 2025 - Two joint Somali-U.S. airstrikes killed 12 al Shabaab militants in central Somalia and destroyed a ship carrying weapons for the al Qaeda-linked group, the Somali government said on Thursday, following recent advances by the Islamists.
- 18 Apr 2025 - A still-convalescing Pope Francis said Thursday he was doing "as best I can" as he visited inmates at Rome's central jail before Easter.
- 18 Apr 2025 - Matiang'i has been engaged as an employee of the World Bank based in Washington DC.
- 18 Apr 2025 - In a region long plagued by service delivery delays and missed opportunities, a quiet but impactful shift is taking place, ushered in not with grand fanfare but through technology that now delivers national identity cards within just seven days. While…
- 18 Apr 2025 - Sudan has implored MPs to use their constitutional mandate to stop President William Ruto from interfering with its internal affairs. Sudan, while lamenting the hosting of the Rapid Support Forces (RSF), alleged that Kenya is set to invite the…
- 18 Apr 2025 - PS Oluga faces SHA challenges as he takes over office
- 18 Apr 2025 - Ntutu advocates for the collapse of numerous bursary funds into one kitty
- 18 Apr 2025 - Power plant to include irrigation, says CS Opiyo Wandayi
- 18 Apr 2025 - Ruto: I will not stop giving money to churches
- 18 Apr 2025 - Fund bleeding disease to save lives, government urged