- 30 views
Usimamizi mbaya wa fedha umetajwa kuwa changamoto kubwa inayokabili vyama vya ushirika vya akiba na mikopo nchini. Akizungumza wakati wa mkutano wa 41 wa wajumbe wa kila mwaka wa chama cha ushirika cha Hazina jijini Nairobi, kamishna wa vyama vya ushirika David Obonyo, amesema serikali inahimiza mageuzi ya sera na kuimarisha usimamizi wa vyama vya ushirika. Chama cha ushirika cha Hazina kimetangaza mgao wa faida wa asilimia 17 kwenye mtaji wa hisa na riba ya asilimia 10.85 kwa amana katika mwaka wa 2024.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Chama cha Hazina chaandaa mkutano wa wajumbe
- - Duniani Leo ››
- 23 Feb 2025 - Since taking office last month, President Donald Trump has upended US foreign policy, making diplomatic overtures towards the Kremlin while demanding Ukraine give up its rare minerals to compensate for the wartime aid it received under Joe Biden.
- 23 Feb 2025 - Several thousand supporters of Bulgaria's ultra-nationalist Revival party scuffled with police on Saturday while trying to storm the building of a European Union mission during a protest against the country's plans to adopt the euro next year.
- 23 Feb 2025 - Flash floods across Botswana have killed seven people including three children and uprooted thousands after days of heavy rains, President Duma Boko said on Saturday.
- 23 Feb 2025 - For years, several areas in Marsabit and Isiolo Counties have been designated as 'disturbed and dangerous' zones by the government.
- 23 Feb 2025 - Pariah state? Diplomatic missteps and their effects
- 23 Feb 2025 - Anxiety, lobbying as PSs reshuffle looms
- 23 Feb 2025 - Why tourism is Kenya's best bet to accelerate economic growth
- 23 Feb 2025 - Developer claims Maisha Namba is his, seeks Sh391b compensation
- 23 Feb 2025 - The church must be accountable to transform our Kenyan society
- 23 Feb 2025 - Troubled Uchumi's creditors to know fate of their billions