- 128 views
Chama cha walimu wakuu wa shule za sekondari -KESSHA- katika kaunti ya homa Bay imeirai serikali kufanya mazungumzo na washikadau wa elimu ili kufanyia mabadiliko sheria ya hazina ya ustawi wa maeneo bunge - ngcdf - baada ya mahakama kuharamisha hazina hiyo. wadau wa elimu wanasema kuwa miradi mingi itaathirika iwapo uamizi wa mahakama utasalia. tayari spika w abunge la kitaifa moses wetangula ameitisha mkutano wa wabunge na wadau kujadili sheria hiyo na kutambua njia za kulainisha hazina hiyo iwe na misingi halali ya kisheria.
Chama cha walimu wakuu wa mashule chashinikiza mazungumzo kusuluhisha mgogoror kuhusu NG-CDF
- 27 Sep 2024 - Sports CS Kipchumba Murkomen has reignited the fiery debate on the repealed Finance Bill 2024 that was shelved following a public uproar over the government's plot to raise taxes at a time when Kenyans are grappling with a tough economy.
- 27 Sep 2024 - KURA has announced that sections of Lang'ata Road, Uhuru Highway, Haile Sellasie Avenue, Bunyala Road and Lower Hill Road will be closed on Sunday, September 29, for the Grand Nairobi Bike Race.
- 27 Sep 2024 - A 32-year-old woman and her nine-year-old son were killed by a speeding vehicle at Gacharu area along the Sagana-Karatina Highway on Friday morning.
- 27 Sep 2024 - Members of the Public have been advised to return any of the products they have to the nearest healthcare facility.
- 27 Sep 2024 - The Archdiocese of Nairobi has dismissed the reports alleging that Cardinal John Njue had passed away, terming the claims as false and without foundation.
- 27 Sep 2024 - More than half of people in Argentina are now living in poverty, latest figures indicate.
- 27 Sep 2024 - The church reminded leaders that the DP and President were elected as a team.
- 27 Sep 2024 - Following the accident, angry residents took to the highway to demonstrate the state of the road.
- 27 Sep 2024 - High public debt payments can reduce state's ability to invest in important areas like health, education.
- 27 Sep 2024 - Amid rising instability in Mali and Burkina Faso, France seeks to expand its engagement across Africa.