- 37 views
Muungano wa vyama vya wafanyakazi, COTU, umepinga mpango wa serikali wa kubadili masharti ya kudumu ya ajira ya watumishi wote wa umma kuwa ya kandarasi kama njia ya kudhibiti kiwango cha juu cha mishahara. Akizungumza wakati wa mkutano wa waakilishi wa wafanyakazi katika makao makuu ya muungano huo jijini Nairobi, katibu mkuu Francis Atwoli alisema kuwa pendekezo hilo la wizara ya utumishi wa umma litasambaratisha utumishi wa umma na pia kuathiri utenda kazi. Na jinsi mwanahabari wetu Abdiaziz Hashim anavyotuarifu vyama vya wafanyakazi vimeorodhesha shinikizo zinazotaka zishughulikiwe na serikali wakati wa sherehe za siku ya wafanyakazi tarehe mosi mwezi ujao zitakazoandaliwa katika uga wa Uhuru Gardens.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
COTU yapinga pendekezo la ajira ya watumishi wa umma kwa kandarasi
- 13 May 2024 - Russia said Sunday it had captured four more villages in Ukraine's Kharkiv region, as thousands of residents were evacuated from the surprise ground offensive and a key border town came under intensive shelling.
- 13 May 2024 - Hundreds of travelers have now been forced to dig deeper into their pockets to pay for boat services to ferry them across the destroyed patch of road.
- 13 May 2024 - Many pets and farm animals have spent days in water, without food, in the inundated state of Rio Grande do Sul, where torrential rains swallowed homes and turned streets into rivers, killing more than 140 people.
- 12 May 2024 - Musyoka asserts that they will mobilize Kenyans to start demonstrations across the country to force Kenya Kwanza to abolish implementations of the Finance Bill, which they argue will increase the price of essential commodities like bread.
- 12 May 2024 - Reading Time: 2 minutes The National A*sembly Speaker Moses Wetang’ula was elated after A**enal picked up a crucial 1-0 Premier League win at Old […]
- 12 May 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua says he will push for the adoption of the one-man-one-shilling formula to ensure equity and fairness in the allocation of funds to the counties.
- 12 May 2024 - West Ham now are a different club to the one Moyes returned to in December 2019.
- 12 May 2024 - •Edwards looked crestfallen and wiped away a tear as he faced the Luton fans at London Stadium after their 3-1 defeat by West Ham on Saturday.
- 12 May 2024 - Locals say most farmers will have less or no harvest this season noting that the rains have left a trail of destruction
- 12 May 2024 - The two were escaping from police and later decided to offload the cargo in Kirigono area