- 146 views
Waziri wa afya Aden Duale ameahidi kuhakikisha kwamba imani ya umma inarejeshwa katika hospitali zinazotekeleza huduma za upandikizaji viungo humu nchini. Waziri alisema wakati umewadia kwa serikali kurejesha imani ya umma katika sekta ya afya huku kukiwa na madai ya sakata ya uvunaji wa figo katika vituo vya afya vya hospitali ya Mediheal. Duale aliyasema hayo katika jumba la Afya aliposimika kamati ya uchunguzi huru kuhusu huduma za upandikizaji viungo nchini.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Duale aahidi kurejesha imani ya umma katika hospitali zinazotekeleza upandikizaji wa viungo
- - FKF League fixtres ››
- - FKF Recap ››
- 26 Apr 2025 - Nearly 500 civilians have been confirmed killed in Sudan's North Darfur in the past two weeks, the United Nations said Friday, condemning "horrifying" numbers of deaths and widespread sexual violence.
- 26 Apr 2025 - The change was widely publicised on Thursday where, for the first time, the branding on merchandise was used.
- 26 Apr 2025 - EACC raids home and office of university official as Council members fail to honour summons.
- 26 Apr 2025 - In a 2022 document, Francis specified that his tomb be simple, without ornament and bearing only the inscription 'Franciscus'
- 26 Apr 2025 - Opposition leader tells supporters to get ready for a new 'earth-shaking' name.
- 26 Apr 2025 - TUK staff sack cuts as Sh13b debt triggers reforms
- 26 Apr 2025 - NSSF eyes double growth as it turns 60
- 26 Apr 2025 - Climate action must guarantee safety and justice
- 26 Apr 2025 - Legal win for firm in Marsabit wind power project standoff
- 26 Apr 2025 - Ruto in China: A toast to future ties or strategic game against the West?