- 38 viewsKwa miongo kadhaa nchini Somalia, watu wenye ulemavu wamekabiliwa na ubaguzi, kutengwa, na ufikiaji mdogo wa haki za kimsingi za Kibinadamu. Asilimia kumi na moja (11%) ya watu wazima nchini humo wana ulemavu, baadhi yao walijeruhiwa wakati wa mashambulizi ya wanamgambo wa Al Shabab wakati wa miongo kadhaa ya vita vya wenyewe kwa wenyewe. Watu wenye ulemavu wamehangaika kupata ajira, elimu, na kushiriki katika siasa. Hata hivyo, sheria hiyo mpya ya kitaifa ambayo ni ya kihistoria, inalenga kubadilisha taswira hiyo na kuwapa nafasi sawa.
Fahamu jinsi sheria mpya inavyowalinda walemavu Somalia
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 27 Feb 2025 - People’s Liberation Party (PLP) Party Leader Martha Karua has opined that Raila Odinga’s association with President William Ruto is what led to his defeat at the African Union Chairmanship election.
- 27 Feb 2025 - People’s Liberation Party (PLP) leader Martha Karua has revealed that she is working with former Deputy President Rigathi Gachagua to unseat President William Ruto in the 2027 General Election.
- 27 Feb 2025 - NARC Kenya party leader Martha Karua has raised concerns over the presence of Sudan’s Rapid Support Forces (RSF) in Nairobi, sensationally questioning whether President William Ruto intends to use them to maintain power.
- 27 Feb 2025 - President Vladimir Putin hosted Guinea-Bissau President Umaro Sissoco Embalo for talks in the Kremlin on Wednesday, the latest sign of a drive by Moscow to build up economic and security relationships with countries in west and central Africa.
- 27 Feb 2025 - Sakaja's stinking mess as City Hall and Kenya Power tussle over debts
- 27 Feb 2025 - Officers left in the dark as plan to change police uniform stalls
- 27 Feb 2025 - Senators take on Barasa over SHA failures, demand value for money
- 27 Feb 2025 - 99,338 students with C plus may not go to university
- 27 Feb 2025 - Gachagua: Raila won't help Ruto in 2027 elections
- 27 Feb 2025 - DPP faces ouster bid over withdrawal of death threat case