- 20 views
Timu ya soka inayoshiriki kwenye divisheni ya pili nchini, Nairobi United Fc, imenunuliwa na gavana wa Nairobi Johnson Sakaja.Klabu hii inayocheza katika ligi ya nsl sasa itapata sura mpya. Baadhi ya mabadiliko yanayotarajiwa ni usajili wa wachezaji, makocha na mameneja wapya, kando na kupokea vifaa vipya vya kufanya mazoezi. Pia sakaja ana mipango ya kuzindua uwanja wa kufanyia mazoezi kwa timu hii. Mazungumzo na mdhamini wa jezi ya timu hii yanaendelea kwa sasa na atazinduliwa hivi karibuni. Sakaja alisema kuwa ataendelea kuinua hadhi ya michezo hapa jijini kwa kujenga na kukarabati viwanja kama vile Dandora, Woodley na kihumbuini. Hafla hii ilifanyika leo mchana katika ofisi rasmi ya Gavana wa Nairobi. Dimba la soka la sakaja super cup litaanza mwezi ujao. __
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
Gavana Sakaja ainunua klabu ya Nairobi United FC
- 27 Sep 2024 - The Directorate of Criminal Investigation (DCI) in Kenya has been ranked as the top investigative agency in Africa.
- 27 Sep 2024 - Safaricom, the largest telecommunications network provider in Kenya, intends to partner with tech juggernaut Elon Musk's Starlink that has disrupted the internet market owing to its competitive packages and faster internet speeds.
- 27 Sep 2024 - "I've not received this letter purportedly addressed to me. On the face of it, it's fake news."
- 27 Sep 2024 - Mercy Tarus, the first prosecution witness in the Finland scholarship scandal involving Uasin Gishu Senator Jackson Mandago, on Friday faced contempt charges at a Nakuru court.
- 27 Sep 2024 - Fishermen earnings have jumped from Sh1,800 a day to Sh3,500
- 27 Sep 2024 - The tutors were promoted by then Governor Lonyangapuo; Kachapin says promotions were done on a political basis.
- 27 Sep 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja has announced a major transformation for Nairobi United Football Club, as he takes control of the team through the Sakaja Foundation.
- 27 Sep 2024 - Environment, Climate Change and Forestry Cabinet Secretary Aden Duale has congratulated Mandera County for winning the Living Green for Climate Change category award at the 2024 Future Green City Congress held in Utrecht, The Netherlands. Mandera…
- 27 Sep 2024 - “I saw my disability as just a minor disability," he said.
- 27 Sep 2024 - The First Lady, Mama Rachel Ruto has rallied her fellow First Ladies in Africa to fast-track gender equity in their countries to ensure that girls and women are given equal opportunities for education and empowerment. The First Lady was speaking in New…