Guinea: Darzeni wafariki wakiwemo watoto kufuatia vurugu katika mechi ya kandanda
Uamuzi wa kutatanisha wa refa katika mechi ya mpira wa miguu ulizua vurugu na mkanyagano katika mechi moja ya soka kusini mashariki mwa Guinea, na kuuwa watu 56 kulingana na idadi ya awali, serikali ilisema Jumatatu.
Uamuzi wa kutatanisha wa refa katika mechi ya mpira wa miguu ulizua vurugu na mkanyagano katika mechi moja ya soka kusini mashariki mwa Guinea, na kuua watu 56 kulingana na idadi ya awali, serikali ilisema Jumatatu.
Vifo vilitokea wakati mechi ya fainali ya mashindano ya kumuenzi kiongozi wa kijeshi wa Guinea Mamady Doumbouya katika uwanja wa michezo huko Nzerekore, mojawapo ya miji mikubwa ya taifa hilo.
Baadhi ya mashabiki walirusha mawe, jambo ambalo lilizua hofu na mshtuko, taarifa ya serikali ilisema, na kuahidi uchunguzi.
Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina afisa mmoja wa mji huo alisema waathirika wengi walikuwa Watoto waliojikuta katika ghasia hizo baada ya polisi kutumia mabomu ya kutoa machozi. Afisa huyo alielezea matukio ya mkanganyiko na vurugu huku baadhi ya wazazi wakichukua miili kabla ya kuhesabiwa rasmi. - Reuters
#guinea #football #voa
19 Apr 2025
- Amin's comments followed days after the former DP raised alarm over alleged assassination attempts.
19 Apr 2025
- Obiri's date with history is on Monday, April 21.
19 Apr 2025
- The floods have since resulted in the displacement of more than 200 families.
19 Apr 2025
- Donald Trump's simmering discontent with the US Federal Reserve boiled over this week, with the president threatening to take the unprecedented step of ousting the head of the fiercely independent central bank.
19 Apr 2025
- Leaders in the Kenya Kwanza government have rallied the Maasai community in Kajiado to reject former Deputy President Rigathi Gachagua’s opposition politics, accusing him of peddling untruths.
19 Apr 2025
- Four people have been confirmed dead following a tragic road accident in the early hours of Saturday morning in Ruiru, Kiambu County.
19 Apr 2025
- U.S. strikes on Yemen's Ras Isa fuel terminal on the Red Sea coast have killed at least 74 people in the deadliest attack since the U.S. started its bombing campaign against the Houthis last year, according to the Houthi-run health ministry.
19 Apr 2025
- Amin's comments followed days after the former DP raised alarm over alleged assassination attempts.
19 Apr 2025
- Police are looking for another suspect escaped unhurt.
19 Apr 2025
- Tanzanian opposition leaders are now demanding access to detained party chairman Tundu Lissu, saying it is his constitutional right.
19 Apr 2025
- The seminar features a comprehensive curriculum designed to strengthen participants’ understanding of AI and its integration into media.
19 Apr 2025
- Machakos Governor Wavinya Ndeti on Friday called on the Christian community to reflect on the meaning of Easter and to pray for the country during this sacred period.
19 Apr 2025
- On the hands