- 646 viewsMakamu wa Rais wa Marekani Mdemocrat Kamala Harris na Rais wa zamani Mrepublikan Donald Trump walikuwa hawajawahi kukutana mpaka usiku wa Jumanne katika mdahalo wao wa urais, lakini mara moja walianza kulumbana katika ushindani muhimu kuelekea katika uchaguzi wa Novemba 5. Wagombea hao wawili walisalimiana kabla ya kuanza mdahalo, kila mmoja akaelekea kwenye sehemu yake jukwaani katika National Constitution Center huko Philadelphia na kuanza kulumbana. Walibishana kuhusu uchumi wa Marekani, haki ya kutoa mimba kwa wanawake wa Marekani, uhamiaji katika mpaka wa Marekani na Mexico, vita vya Israel na Hamas huko Gaza, uvamizi wa Russia nchini Ukraine, na ghasia katika Bunge la Marekani Januari 6, 2021, wakati Congress ikiidhinisha Bunge likirasmisha matokeo ya uchaguzi 2020 ambao Trump alishindwa. Akieleza kushindwa kwa Trump uchaguzi wa 2020 ambapo Rais Joe Biden alishinda, Harris alisema, “Donald Trump alifukuzwa kazi na watu milioni 81. Ana wakati mgumu kulikubali hilo. Trump hivi karibuni alisema alishindwa katika uchaguzi “kwa kura chache,” lakini katika jukwaa la mdahalo Jumanne, alisema alikuwa anafanya kejeli na kukataa kukubali uhalali wa matokeo ya uchaguzi wa 2020. #harris #trump #debate #uselections #voa
Harris, Trump waanza malumbano mwanzo kabisa wa mdahalo wao
- 21 Apr 2025 - As an at-times unwitting star on social media, Pope Francis knew how to exploit the internet to preach the gospel, broadening the Church's appeal while modernising its communications.
- 21 Apr 2025 - US Defense Secretary Pete Hegseth fought back Monday -- with White House support -- against another scandal over his reported use of Signal to discuss airstrikes on Yemen, this time with his wife, brother and lawyer.
- 21 Apr 2025 - President William Ruto will visit Beijing and meet with President Xi Jinping as reciprocal trade tariffs between America and Beijing deepen, and shockwaves in the aftermath of the tariffs rip through the global markets.
- 21 Apr 2025 - Activist Boniface Mwangi says he was violently assaulted and robbed by police officers in Nairobi earlier this month.
- 21 Apr 2025 - Police in Kabarnet, Baringo County, on Monday found the body of a boda boda rider who had been missing since Thursday.
- 21 Apr 2025 - With Pope Francis’s death, the immediate running of the Vatican is now in the hands of one cardinal, Dublin-born Cardinal Kevin Farrell. Known as the Camerlengo, and appointed by the pope, it is he who will lead meetings to determine the date of Francis…
- 21 Apr 2025 - Some cardinals who are being talked about as "papabili" to succeed Pope Francis, whose death at the age of 88 was announced by the Vatican on Monday.
- - Teachers are tired of the promotion mess, says Knut boss Collins Oyuu
- 21 Apr 2025 - Lokedi set a new course record in 2:17:22.
- 21 Apr 2025 - Four Kenyans secured millions after their heroics at the oldest marathon in history.