- 2,915 views
kesi ambapo mwanamume mmoja ameshtakiwa kwa kufichua maelezo kuhusu mtu mwingine imetajwa hii leo kwenye mahakama ya Milimani kwa mujibu wa mashtaka, Hatim Mohamed Tahir anadaiwa kuwa tarehe 19 mwezi Septemba mwaka wa 2023 akiwa pamoja na mtu mwingine ambaye hakuwa mahakamani, alifichua habari za kibinafsi za roose friedman na mtoto mwingine kwkea wakili Lynn Nganga ambaye alikuwa akisikiza kesi. Hii leo, wakili wake Hatim Tahir, Duncan Okatch alitaka mahakama kuzuia wanahabari kuhudhuria kesi hiyo akisema kuwa mteja wale alikuwa anadhalilishwa. hata hivyo hakimu Ndombi alimtaka mshtakiwa kuwasilisha ombi hilo rasmi. Hatim alipewa dhamana ya shilingi laki tatu. Friedman amemteua wakili Felix Otieno kumwakilisha
Mwanaume mmoja ashtakiwa kwa kufichua maelezo mtu mwingine
- - ULIMWENGU WA SOKA ››
- - 🔴LIVE|| NEWSNOW ››
- 6 Oct 2024 - A passenger bus plunged into the Indian Ocean at the Likoni Ferry crossing channel on Sunday morning.
- 6 Oct 2024 - President William Ruto on Sunday assured the church that his government will not allow the freedom of worship to be obstructed amid a proposal to introduce a code of conduct for Kenyan religious centres.
- 6 Oct 2024 - Gachagua revealed that he was utterly sorry for any wrongdoings.
- 6 Oct 2024 - Energy and Petroleum Cabinet Secretary Opiyo Wandayi says the ministry is in the process of reviving works at the Muhoroni Gas Turbine plant at the border of Kisumu and Kericho counties to boost electricity supply in the Southern Nyanza region.
- 6 Oct 2024 - A behind-the-scenes look at how Kibaki's fate was sealed in the tumultuous world of Kenyan politics under President Moi's regime.
- 6 Oct 2024 - New prices to come into effect after one month.
- 6 Oct 2024 - Israel placed its forces on alert Saturday ahead of the anniversary of Hamas's October 7 attack, after a military official said the country was preparing its retaliation for Iran's missile attack.
- 6 Oct 2024 - The United States government completed an initial shipment of vaccine doses and therapeutic drugs for Marburg disease to Rwanda on Oct. 4, Thierry Roels, U.S. CDC Country Director in Rwanda told Reuters on Saturday.
- 6 Oct 2024 - In the wake of the devastation of Hurricane Helene in the United States this week, a new storm emerged on social media - false rumors about how disaster funds have been used, and even claims that officials control the weather.
- 6 Oct 2024 - Haitian Prime Minister Garry Conille embarked on a trip to the United Arab Emirates and Kenya on Saturday to seek security assistance in the aftermath of one of deadliest gang attacks in the Caribbean nation in recent years.