- 4 views
Mbunge wa Busia Catherine Omanyo ameitaka serikali kuu kupitia idara ya Huduma za Jamii kuanzisha kampeni za uhamasisho kwa watu walio na ulemavu kuhakikisha wanajisajili kikamilifu ili wanufaike na huduma za serikali pamoja na ruzuku nyinginezo. Akizungumza katika eneo la Apatit wakati wa uzinduzi wa mpango wa ugawaji viti 100 vya magurudumu kwa watu wlio na ulemavu, Omanyo alikariri kuwa walemavu wengi wametengwa na familia zao kwani wanachukuliwa kuwa mzigo, hatua inayowanyima haki zao za kimsingi. Wakazi walipongeza hatua hiyo wakisema itawapa walemavu fursa ya kujiendeleza katika jamii.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Huduma za serikali : Watu walio na ulemavu watakiwa kujisajili
- 19 Mar 2025 - A 55-year-old woman has been sentenced to 50 years in prison or pay a fine of Ksh.50 million for trafficking 3.9 kilograms of heroin.
- 19 Mar 2025 - In an era where digital platforms are reshaping how communities engage, an Assistant Chief in Kipcherere, Baringo County has taken the initiative to embrace technology in a way that not only entertains but also educates.
- 18 Mar 2025 - A section of MCAs, who ideally should exercise oversight in the devolved units, are hindering the fight against corruption.
- 18 Mar 2025 - Healthcare workers in Nairobi took to the streets on Tuesday in a bold protest, demanding fair treatment and job security.
- 18 Mar 2025 - Israeli airstrikes pounded Gaza and killed more than 400 people, Palestinian health authorities said on Tuesday, ending weeks of relative calm after talks to secure a permanent ceasefire stalled.
- 18 Mar 2025 - The family of Margaret Nduta is holding on to hope after she was spared from a scheduled execution on Monday evening.
- 18 Mar 2025 - Makueni Governor Mutula Kilonzo Jr has unveiled a County Technical Working Team to assess the effects of oil spillage in Thange Ward, Kibwezi East Constituency.
- 18 Mar 2025 - Ruto said the event was held to "honour our past, celebrate our present, and embrace our future."
- 18 Mar 2025 - The utility firm said the interruption will be effected between 8 am to 5pm
- 18 Mar 2025 - Ghana’s President John Mahama’s verified X account was hacked for 48 hours, with cybercriminals using it to promote a fraudulent cryptocurrency project, his spokesperson confirmed on Tuesday.