Idadi ya wapiga kura wanawake imeendelea kuwa juu zaidi kuliko wanaume katika uchaguzi wa rais
Idadi ya wapiga kura wanawake imekuwa ni juu zaidi kuliko kwa wanaume katika uchaguzi wa rais Marekani tangu mwaka 1984. Kwa mujibu wa Center for Women in American Politics, wanawake wamekipigia kura chama cha Democratic dhidi ya Republican katika kila uchaguzi wa rais tangu mwaka 1992.
William Frey, Taasisi ya Brookings anaeleza: “Siyo tu wanawake wanajitokeza kwa wingi zaidi kuliko wanaume, lakini wao wanaishi muda mrefu zaidi kuliko wanaume, kwahiyo wale walio katika makundi ya wazee watakuwa na uwakilishi mkubwa zaidi kutoka kwa wanawake.”
William Frey wa taasisi ya Brookings anaelezea takwimu za karibuni za idadi ya watu Marekani na kuonyesha namna kura ya wanawake itakavyokuwa mwaka huu wa 2024. Anasema mwenendo unakipendelea chama cha Democratic, kwa kiasi kwasababu wapiga kura wengi hivi leo ni wanawake ambao wahitimu kutoka katika vyuo.
#wanawake #uchaguziwarais #marekani #wazungu #waafrika #republikans #demokratiki
21 Apr 2025
- The 88-year-old pontiff died at his home at his residence in the Vatican's Casa Santa Marta.
21 Apr 2025
- The two have been warming up to each other with speculations on the future building up.
21 Apr 2025
- The Catholic faithful are set to get a new Pope after the death of Pope Francis on Easter Monday.
21 Apr 2025
- The death of Pope Francis on Monday sets in motion centuries-old traditions which will culminate in the election by cardinals of a new pontiff -- but with a few changes.
21 Apr 2025
- Here are some key dates in the life of Pope Francis, the first Jesuit and Latin American pope, who died on Monday aged 88:
21 Apr 2025
- Pope Francis, the first Latin American leader of the Roman Catholic Church, has died, the Vatican said in a video statement on Monday.
21 Apr 2025
- The 88-year-old pontiff died at his home at his residence in the Vatican's Casa Santa Marta.
21 Apr 2025
- Embakasi East Member of Parliament (MP) Babu Owino has suggested a potential joint presidential bid in 2027 with his Kiharu counterpart Ndindi Nyoro.
21 Apr 2025
- Key quotes from Pope Francis’s papacy: – Humility – “Pray for me” – pronounced at the end of every speech, because, he once explained, “I am a sinner too.” His first tweet and first post on Instagram were versions of the mantra. – The poor – “How I…
21 Apr 2025
- The two have been warming up to each other with speculations on the future building up.
21 Apr 2025
- The Catholic faithful are set to get a new Pope after the death of Pope Francis on Easter Monday.
21 Apr 2025
- It is Easter. This is the period that Christianity worldwide commemorates the Passion of the Lord Jesus Christ, his crucifixion, and his triumphant rising from the dead. Jesus Christ was tried by Pontius Pilate, who was the prefect (governor) of Judea…
21 Apr 2025
- When a pope dies, the Roman Catholic Church begins a series of elaborate rituals.