Idadi ya wapiga kura wanawake imeendelea kuwa juu zaidi kuliko wanaume katika uchaguzi wa rais
Idadi ya wapiga kura wanawake imekuwa ni juu zaidi kuliko kwa wanaume katika uchaguzi wa rais Marekani tangu mwaka 1984. Kwa mujibu wa Center for Women in American Politics, wanawake wamekipigia kura chama cha Democratic dhidi ya Republican katika kila uchaguzi wa rais tangu mwaka 1992.
William Frey, Taasisi ya Brookings anaeleza: “Siyo tu wanawake wanajitokeza kwa wingi zaidi kuliko wanaume, lakini wao wanaishi muda mrefu zaidi kuliko wanaume, kwahiyo wale walio katika makundi ya wazee watakuwa na uwakilishi mkubwa zaidi kutoka kwa wanawake.”
William Frey wa taasisi ya Brookings anaelezea takwimu za karibuni za idadi ya watu Marekani na kuonyesha namna kura ya wanawake itakavyokuwa mwaka huu wa 2024. Anasema mwenendo unakipendelea chama cha Democratic, kwa kiasi kwasababu wapiga kura wengi hivi leo ni wanawake ambao wahitimu kutoka katika vyuo.
#wanawake #uchaguziwarais #marekani #wazungu #waafrika #republikans #demokratiki
16 Oct 2024
- The suspect is currently being detained ahead of pre-trials slated for November 19, 2024.
16 Oct 2024
- The fire has engulfed some floors of the four-floor building that houses businesses.
16 Oct 2024
- EPRA through a gazzette notice last week revealed that electricity costs will increase marginally in October.
17 Oct 2024
- Kamala Harris takes her media blitz into opposition territory Wednesday with an interview on Fox News, as Donald Trump seeks to use the same network to connect with female voters wary of his record.
17 Oct 2024
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has come out to clarify concerns by the public regarding the recent arrest of a senior Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) official over the forgery of academic documents.
17 Oct 2024
- A dramatic showdown unfolded in the Senate on Wednesday evening during the impeachment trial of Deputy President Rigathi Gachagua.
16 Oct 2024
- Detectives in Embu have arrested a man over the brutal murder of his lover and thereafter dumping her body in a river.
16 Oct 2024
- The impeachment trial, which saw dramatic exchanges, took a heated turn when the DP’s lawyers demanded that Mutuse substantiate his claims.
16 Oct 2024
- It was a night of long knives for Kibwezi MP Mwengi Mutuse as he came under cross-examination from lawyers of DP Rigathi Gachagua at Senate. His lawyers, including Elisha Ongoya and Tom...
16 Oct 2024
- Kenya has been admitted into the Middle East Green Initiative (MGI) during Wednesday's inaugural ministerial meeting of the multilateral climate change forum. At the meeting held in Jeddah, Saudi Arabia, Kenya was admitted into MGI alongside 10 other…
16 Oct 2024
- Kenya has been admitted into the Middle East Green Initiative (MGI) during Wednesday’s inaugural ministerial meeting of the multilateral climate change forum. At the meeting held in Jeddah, Saudi Arabia, Kenya was admitted into MGI alongside 10 other…
16 Oct 2024
- City's slums sanitation upgrade bid launched
16 Oct 2024
- Gachagua well known as Riggy G, was a scandal-tainted political beginner when he rode an anti-establishment wave to become the deputy president.