Skip to main content
Skip to main content

Ifahamu China | Mshirika wa Maendeleo

  • | KBC Video
    47 views
    Duration: 3:20
    Baadhi ya viongozi na wasomi kutoka China wamepinga madai kwamba shghuli za taifa hilo barani Afrika ni aina ya ukoloni mamboleo. Wataalamu nchini humo wamesema kuwa mpango ustawishaji miundo mbinu kwa jina Belt and Road Initiative, umeifanya China kuwa mshirika wa maendeleo anayeunga mkono uhuru, ustawi, na uthabiti wa muda mrefu wa nchi za Afrika. Maelezo zaidi katika Makala yetu ya ifahamu China Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCchannel1 #Kenya #News