- 8 views
Mikakati inayonuiwa kushughulikia changamoto zinazowaathiri watu wanaoishi katika maeneo ya mpakani katika upembe wa Afrika imeanzishwa. Mpango huo kwa jina The peaceful and Resilient Borderlands uliozinduliwa leo utashughulikia chanzo cha ukosefu wa uthabiti na vilevile kuimarisha maendeleo ya uchumi wa kijamii kwa minajili ya kudumisha amani na ufanisi. Waziri wa masuala ya kanda ya Afrika Mashariki na ustawishaji wa maeneo kame Beatrice Askul alisema Kenya inafanya juhudi za kuhakikisha jamii zinazoishi katika sehemu kame zinaishi kwa amani.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
IGAD yazindua mikakati ya kudumisha amani mipakani
- 24 Sep 2024 - Telegram's search feature "has been abused by people who violated our terms of service to sell illegal goods", Durov told the 13 million subscribers of his personal messaging channel.
- 24 Sep 2024 - In Nairobi, leaders from the Pentecostal Association have outrightly rejected the bill, demanding its withdrawal.
- 24 Sep 2024 - If passed, this motion would allow Senators to express their disapproval of Gachagua, differing from an impeachment motion that seeks the removal of an officeholder.
- 24 Sep 2024 - Attempts by Committee Chair Karungu wa Thangwa to restore order were met with hostility, prompting him to walk out of the session in protest.
- 23 Sep 2024 - The arrests are the result of investigations into allegations of corruption involving the theft of public funds intended to help low-income students in the county.
- 23 Sep 2024 - He said win highlights Tebboune’s dedication, visionary leadership
- 23 Sep 2024 - These are the stories making the headlines in the Star.
- 23 Sep 2024 - Says they'll serve as pathways to long-term career opportunities with global organisations
- 23 Sep 2024 - Varying standards curtail Kenyan insurers' regional foray
- 23 Sep 2024 - Power supply will be interrupted mostly from 9am to 5pm