India: Waokoaji Kerala wakitafuta manusura, watu 166 wafariki
Wanajeshi pamoja na timu za uokozi wakipekuwa kwenye matope na mawe katika eneo la Kerala, India.
Wakati zoezi hili likiendelea mvua imeendelea kunyesha, wanatafuta manusura pamoja na miili ya watu waliokufa kwenye milima katika jimbo la Kerala nchini India, siku moja baada ya watu 165 kufa kutokana na maporomoko ya ardhi kufuatia mvua za masika.
Kufikia sasa karibu watu 1,000 wameokolewa kutoka kwenye vijiji vya milimani, na kwenye mashamba ya majani ya chai, katika mkoa wa Wayana na wengine 225 wakiwa hawajulikani walipo ripoti zimesema . Watu 166 wameripotiwa kufa na wengine 195 kujeruhiwa wakati televisheni ya ndani Asianet ikiripoti vifo 179.
Mvua kubwa kwenye jimbo la Kerala ambalo ni kivutio kikubwa zaidi cha watalii nchini India zilipelekea maporomoka ya ardhi Jumanne, na kusababisha matope pamoja na mawe kuanguka kuelekea sehemu za chini ambapo watu wengi walifunikwa na kufariki wakiwa wamelala.
Mkasa huo unasemekana kuwa mbaya zaidi jimboni humo tangu mafuriko ya 2018 yalipotokea . - Reuters
#kerala #maporomoko #mafuriko #India #vifo #voa #voaswahili
22 Apr 2025
- The KeNHA boss noted the new regulations were meant to support the Authority to deliver on its mandate.
22 Apr 2025
- Hanifa is among those who have landed roles at NMG
22 Apr 2025
- The amendment has been the subject of controversy since last year.
22 Apr 2025
- Residents of Mwea constituency in Kirinyaga county have raised concerns over the rise of donkey theft in the region.
22 Apr 2025
- Nominated Senator Gloria Orwoba has criticised the newly sworn-in Gender Cabinet Secretary (CS) Hanna Cheptumo over her suitability for the role.
22 Apr 2025
- Cardinals gathered Tuesday at the Vatican to begin scheduling Pope Francis’ funeral and burial, planning the conclave to elect his successor and making other decisions about running the Catholic Church as world leaders and ordinary faithful grieved the…
22 Apr 2025
- The Vatican published Tuesday a photo and video of Pope Francis in his open coffin, dressed in a red robe with the papal mitre on his head and a rosary in his hand.
22 Apr 2025
- Two people have been shot dead while two other sustain gunshot injuries at Loberer, Baringo County on Monday.
22 Apr 2025
- Health Cabinet Secretary Hon. Aden Duale has issued a strong warning to the Kenya Medical Practitioners and Dentists Council (KMPDC) regarding the licensing of unqualified and non-compliant medical facilities. He stressed that any compliance or…
22 Apr 2025
- The KeNHA boss noted the new regulations were meant to support the Authority to deliver on its mandate.
22 Apr 2025
- Hanifa is among those who have landed roles at NMG
22 Apr 2025
- According to the Daily System Operation and Dispatch Analysis Report, last week, geothermal power plants contributed the highest in the generation mix.
22 Apr 2025
- In its weather outlook for April 22 to 28, the department also warned of isolated heavy rainfall in specific regions.