- 1,186 views
Isaac Mutuma anatazamiwa kuapishwa Jumatatu kuwa gavana wa kaunti ya Meru, baada ya mahakama kuu kudumisha uamuzi wa bunge la Seneti wa kumuondoa madarakani Kawira Mwangaza. Hafla ya kuapishwa kwa Mutuma ambaye kwa sasa ni naibu Gavana wa kaunti hiyo huenda ikatia kikomo kipindi cha kuhudumu cha Kawira kama gavana, ambacho kimekabiliwa na mihemko ya kisiasa. Ripota wetu Abdiaziz Hashim anaangazia masuala ibuka ambayo huenda yataelekeza mustakabali wa kisiasa wa Mwangaza na pia kuangazia safari ya Mutuma ambaye anatazamiwa kuchukua hatamu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Isaac Mutuma kuapishwa kuwa gavana Jumatatu
- 16 Mar 2025 - Pope Francis approved a new three-year process to consider reforms for the global Catholic Church, the Vatican said on Saturday, in a sign the 88-year-old pontiff plans to continue on as pope despite his ongoing battle with double pneumonia.
- 16 Mar 2025 - A Chinese naval fighter jet crashed on Saturday during a training exercise but its pilot successfully ejected from the plane, the military said.
- 16 Mar 2025 - At least nine Palestinians were killed, including two local journalists, and others were wounded on Saturday in an Israeli airstrike on Gaza's northern Beit Lahiya town, Gaza's health ministry said, as Hamas's leaders held Gaza ceasefire talks with…
- 16 Mar 2025 - A lawyer who ran a local news Facebook page in one of Mexico's most violent states was found killed Friday, prosecutors in Guanajuato said.
- 16 Mar 2025 - Ruto's diplomatic mishaps hurt Kenya's trade, bilateral relations
- 16 Mar 2025 - Ruto's tours and Raila's gamble to save the nation
- 16 Mar 2025 - Kalonzo calls for through vetting of IEBC chair nominees
- 16 Mar 2025 - Why Raila-Ruto pact excites Rift Valley
- 16 Mar 2025 - Two suspects arrested in Kiambu for drug trafficking
- 16 Mar 2025 - How leadership wrangles darkened Mwangaza's bright start