- 113 viewsKatika vijiji vilivyotelekezwa na jamii mbalimbali karibu na mpaka kusini mwa Lebanon, majeshi ya Israeli na wapiganaji wa Hezbollah waliangalia kwa miezi kadhaa, wakihama na kujiweka tayari kwa mapambano wakati wakisubiri kushuhudia vita kamili iwapo vitaanza. Tangu kuanza kwa vita vya Gaza Oktoba mwaka jana, pande hizo mbili zimekuwa zikurushiana wimbi la makombora, roketi, mizinga na mashambulizi ya anga katika mivutano ambayo haijapelekea vita kamili. Maelfu ya watu wamehamishwa kutoka pande zote mbili za mpaka na matumaini kwamba watoto wataweza kurejea kuanza masomo katika mwaka mpya wa masomo ifikapo Septemba inaelekea umekwama kufuatia tangazo la Waziri wa Elimu wa Israel Yoav Kisch Jumanne kuwa hali hivi sasa ilivyo haitaruhusu hilo kufanyika. “Vita inaelekea viko vile vile kwa miezi tisa iliyopita,” Luteni Kanali Dotan, Afisa wa Israeli, ambaye aliweza kutambuliwa kwa jina lake la kwanza. “Tunasiku nzuri za kuishambulia Hezbollah na siku mbaya ambazo wanatushambulia. Ni kama tunalingana kwa hilo, mwaka mzima, miezi yote tisa.” - Reuters #majeshi #israeli #wapiganaji #hezbollah #vita #voa #voaswahili #benjaminnetanyahu #golanheights
Israel na Hezbollah wakijiweka tayari kwa vita kamili iwapo itaanza
- 22 Apr 2025 - The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has launched a probe into an incident where a woman was allegedly assaulted by a police officer in Narok when she went to record a statement.
- 22 Apr 2025 - Titus Wekesa Sifuna, has been arraigned before the Milimani Law Courts under a miscellaneous application.
- 22 Apr 2025 - According to the medical report, the woman suffered soft tissue injuries.
- 22 Apr 2025 - Vocalist and activist Hussein Khalid condemned the incident and demanded an investigation.
- 22 Apr 2025 - Kariobangi North Member of County Assembly Joel Munuve has passed away.
- 22 Apr 2025 - Harvard University sued on Monday to block U.S. President Donald Trump from freezing billions of dollars in federal funding after the elite research institution rejected a list of White House demands that it said would undermine its independence.
- 22 Apr 2025 - The project is linked to another Ksh300 billion project in Western Australia.
- 22 Apr 2025 - Teachers Service Commission says the promotions were conducted fairly.
- 22 Apr 2025 - Duplantis wins Laureus Sportsman of the Year Award
- 22 Apr 2025 - The former prime minister has found himself caught up in the news surrounding the death of Pope Francis.