Skip to main content
Skip to main content

Jaji Mkuu Martha Koome atoa wito wa kitaifa dhidi ya ufisadi

  • | KTN News
    728 views
    Duration: 2:01
    Akihutubia katika chuo kikuu cha St. Paul, Limuru, wakati wa mkutano wa tano wa kimataifa kuhusu malengo ya maendeleo endelevu, koome alisema ufisadi kwenye mahakama umekuwa kikwazo kikuu cha haki na maendeleo ya taifa. ameonya kwamba pale rushwa inaposhamiri, wananchi hukosa haki kwa wakati na nchi hukwama kimaendeleo. #ktnnews #KTNNewsDigital #ktnkenya #KTNTV #KTNHome #KenyaNews 🔴 LIVE: US Election Day 2024: KTN News Kenya | Breaking News & Entertainment Hub Welcome to the 24/7 KTN Kenya News Channel on YouTube – your trusted source for the latest news and updates in Kenya and beyond. SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: https://www.youtube.com/ktnnewskenya Follow us on Twitter: https://twitter.com/KTNNewsKe Like us on Facebook: https://www.facebook.com/KTNNewsKenya KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond. Watch KTN Live http://www.ktnnews.com/live Watch KTN News http://www.ktnnews.com Follow us on http://www.twitter.com/ktnnews Like us on http://www.facebook.com/ktnnews