- 4,321 views
Naibu rais aliyeondolewa ofisini, Rigathi Gachagua, amepata pigo la pili mahakamani kwa muda wa siku nne pekee, baada ya jopo la majaji watatu linalosikiza kesi kuhusu kuondolewa kwake kukataa kujiondoa kama alivyotaka gachagua. katika uamuzi uliochukua dakika mbili jaji msimamizi Eric Ogola alisema, jopo hilo litaendelea kusikiza kesi zinazopinga kutimuliwa kwa Gachagua na vilevile kusikiza kesi inayotaka maagizo yaliyosimamisha waziri wa usalama wa ndani profesa kithure kindiki kula kiapo cha naibu rais kutupiliwa mbali, wiki ijayo.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Jopo la majaji watatu wanaosikiza kesi ya kubanduliwa kwa Gachagua wakataa kujiondoa
- 26 Oct 2024 - The pope's commission on clerical child sex abuse said Friday it will publish its first annual report next week, a decade after the body was established.
- 25 Oct 2024 - Kenya should never again be subjected to the politics of division and ethnicity, President William Ruto has said.
- 25 Oct 2024 - Thomas Mutune, who was once sentenced to 30 years in prison for narcotics trafficking, emerged from the Thika Prison as a qualified lawyer after serving just a decade behind bars.
- 25 Oct 2024 - The government has come out to allay fears that it is clamping down on the freedom of worship as a fundamental right in Kenya.
- 25 Oct 2024 - Foreign Affairs PS Korir Sing’oei has come out to justify the government’s decision following the controversial repatriation of four Turkish nationals which has attracted global condemnation.
- 25 Oct 2024 - A man has been sentenced to 20 years in prison after being found guilty of the 2017 murder of Bishop Pius Muiru’s mother, Grace Wangari Mwangi.
- 25 Oct 2024 - Critics blamed the Southern African Development Community’s silence for the chaos witnessed in the polls.
- 25 Oct 2024 - Critics have accused Kenya of abandoning an age-old principle in refugee protection.
- 25 Oct 2024 - Why Courts will unlikely nullify Gachagua's impeachment
- 25 Oct 2024 - Overwhelming responses to presidential term limit extension crash Senate systems