- 1 views
Wadau katika sekta ya afya ya uzazi wametoa wito wa juhudi za pamoja kutoka kwa sekta za kibinafsi na umma ili kuimarisha upatikanaji wa huduma za upangaji uzazi kwa wasichana na wanawake kote nchini. Wakiongozwa na aifsa mkuu wa shirika la afya la Insupply Yasmin Chandani, wadau hao walizungumzia mabadiliko katiam mfumo wa ufadhili kuwa sababu kuu zinazozuia upatikanaji wa huduma bora za afya ya uzazi. Wadau hao waliyoyasema hayo wakati wa warsha kuhusu upangaji uzazi iliyoandaliwa katika kaunti ya Nairobi walisema kuwa kujumuishwa kwa wadau wa kibinafsi wakiwemo wataalamu wa dawa kutaimarisha uhamasisho.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Juhudi za pamoja zahitajika kufanikisha hudumaza upangaji uzazi
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 13 Mar 2025 - Public Service Cabinet Secretary (CS) Justin Muturi has explained his recent absences from Cabinet meetings, stating that he requested to be excused from the meetings unless the issues of police abductions and extrajudicial killings were on the agenda.
- 13 Mar 2025 - Public Service Cabinet Secretary Justin Muturi has dismissed calls by a section of government leaders asking him to step down.
- 13 Mar 2025 - Court warns woman to keep daughter in forced marriage row
- 13 Mar 2025 - Involve youths in policy policy reforms to tackle skills mismatch, unemployment
- 13 Mar 2025 - How Kuscco board pocketed Sh18m for site visits to housing project
- 13 Mar 2025 - Epra's new price policy fuels pain of consumers
- 13 Mar 2025 - Relief for patients after clinical officers call off strike
- 13 Mar 2025 - Court backs varsity after firing staff over unpaid loan
- 13 Mar 2025 - Anger and despair as more than 100 families evicted from their homes
- 13 Mar 2025 - MPs give themselves Sh7b more, slash health budget