- 4,488 viewsTaifa la Qatar limekuwa msitari wa mbele katika juhudi za kutafuta amani kwenye baadhi ya mizozo inayoathiri maeneo kadhaa duniani. Na baada ya kikao cha Jumanne, ambapo Kiongozi wa taifa hilo aliwakutanisha Marais wa Rwanda na Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Qatar imeonekana kuorodheshwa katika kundi la mataifa kama vile Marekani, Milki za Falme za Kiarabu, Saudi Arabia na mengine mengi ambayo yanajaribu kusitisha vita katika bara Ulaya, Mashariki ya kati na hata hapa Afrika. Sasa je, ni kwa nini nchi hiyo imepata umaarufu mkubwa katika juhudi za kusaka amani duniani?. Leila Mohammed anaelezea zaidi. #bbcswahili #qatar #DRC Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Juhudi za Qatar kutafuta amani DRC zitafanikiwa?
- 28 Mar 2025 - The reported house arrest of Riek Machar, the former bush rebel leader who became South Sudan's First Vice President, marks the latest turn in the turbulent relationship with his rival, President Salva Kiir, after a five-year civil war.
- 28 Mar 2025 - Contentious university funding plan to be modified in fresh rollout
- 28 Mar 2025 - Senate approves Sh50.5b for counties after months of delays
- 28 Mar 2025 - Kenya Cup lands Sh10m sponsorship deal from KBL
- 28 Mar 2025 - Search for IEBC commissioners kicks off as candidates face credibility test
- 28 Mar 2025 - Democracy by exclamation goes to stadium, revealing nation in a restive state
- 28 Mar 2025 - Acorn student hostel REITs triple profit to Sh1.4b in 2024
- 28 Mar 2025 - Rookies Matiliku eye memorable national hockey debut
- 28 Mar 2025 - Stock markets in the red as Trump targets foreign car imports
- 28 Mar 2025 - Phase Two of Operation Maliza Uhalifu launched