Juhudi za uokoaji zinaendelea baada ya tetemeko la ardhi kuikumba Myanmar.
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa ombi la dharura la $8m (£6.2m) kusaidia kukabiliana na athari za janga hilo.
Kwa mengi zaidi, jiunge na @RoncliffeOdit katika Dira ya Dunia TV kwenye ukurasa wa YouTube wa BBC Swahili.
#bbcswahili #mynmar #tetemekolaardhi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
2 Apr 2025
- A video of Samuel da Silva dos Santos holding the baby girl found in a box on a street strewn with trash went viral on social media, sparking a mixture of joy and indignation in the Brazilian seaside city.
2 Apr 2025
- Health officials and police have scrambled to explain the mix-up, which has appalled political leaders and stoked outrage across the country.