- 1,399 views
Wanaume wametakiwa kuwa kielelezo chema ili kukuza nafasi yao katika jamii. Wito huu umetolewa na viongozi wa kanisa la africa inland (AIC) wanaosema wanaume wametengwa na jamii sehemu nyingi. Viongozi hawa walizungumza haya wakati wa hafla ya kuhitimu kwa wanaume hamsini waliopewa mafunzo maalum ya kuwawezesha kutoa uongozi bora kwa familia na kuwapa vijana wa kiume ushauri unaofaa. Viongozi hao pia wamesisitiza umuhimu wa kuwepo kwa mafunzo kama hayo ili kuwawezesha wazee na wavulana kuelewa majukumu yao katika jamii.
Kampeni yafanywa kuimarisha majukumu ya wanaume
- - KISUMU CELEBRATIONS ››
- 22 Oct 2024 - Candidates sitting for this year’s Kenya Certificate of Secondary Education (KSCE) will be issued with the new Maisha Card before the end of the assessment, Immigration and Citizen Services Principal Secretary Julius Bitok has announced.
- 22 Oct 2024 - Isiolo Governor Abdi Guyo finally appeared before a Senate committee after multiple summons and fines imposed for failing to honour the Senate.
- 22 Oct 2024 - Rigathi Gachagua was stretchered into hospital as the Deputy President of the Republic of Kenya but when he walked out three days, he was a member of the opposition.
- - KCSE candidates to receive Maisha Card before exams end
- 22 Oct 2024 - This comes even as Kenya expects to unlock a Ksh464 billion IMF loan facility.
- 22 Oct 2024 - Previous bans have left farmers counting losses.
- 22 Oct 2024 - The four have been established to be well connected senior officers within the devolved unit.
- 22 Oct 2024 - More than 40 houses were torched in the tragedy.
- 22 Oct 2024 - The new directive is set to address major challenges that have plagued the SHA transition.
- 22 Oct 2024 - Candidates sitting for this year’s Kenya Certificate of Secondary Education (KCSE) exams will receive the new Maisha Card before the end of the examination period, according to Immigration and Citizen Services PS Julius Bitok. The issuance of these ID…