- 95 views
Kaunti ya Nairobi kupitia kikundi cha Green Army leo kimefanya zoezi la usafi nje ya Stima Plaza na maeneo mengine kama ilivyoagizwa na wizara ya afya. tarehe 24, mwezi februari, wafanyikazi wa kaunti ya Nairobi walitupa taka katika eneo la Stima Plaza baada ya kenya power kukata umeme kwenye jengo la city hall kutokana na deni la shilingi bilioni 3 ambalo halijalipwa. hata hivyo, serikali ya kaunti ya Nairobi na wizara ya kawi sasa wamekubali kushirikiana kutatua tatizo hilo.
Kaunti ya Nairobi kupitia kikundi cha Green Army chafanya zoezi la usafi nje ya Stima Plaza
- 23 Apr 2025 - Several world leaders have announced they will travel to Rome for Pope Francis's funeral on Saturday, which is likely to also draw a huge crowd in the square in front of St Peter's Basilica at the Vatican.
- 23 Apr 2025 - Prince William will represent Britain's royal family at the funeral of Pope Francis at the Vatican on Saturday, Kensington Palace said Tuesday.
- 23 Apr 2025 - The elusive dream: Is the world ready for a Pope from 'fast rising' Africa?
- 23 Apr 2025 - Minty business: Local farmer mints cash from fragrant crop
- 23 Apr 2025 - Orengo speaks language of integrity in a betrayed nation
- 23 Apr 2025 - Shilling's rally set for dividends season dollar demand test
- 23 Apr 2025 - MPs launch probe into kidney trade claims
- 23 Apr 2025 - Over 19,000 documents uncollected as CS Ruku vows to streamline Huduma Centres
- 23 Apr 2025 - Kenya to miss papal conclave as Cardinal Njue exceeds voting age limit of 80 years
- 23 Apr 2025 - CoG: William Ruto a threat to devolution