- 29 views
Familia moja katika makazi ya mabanda ya Botori viungani mwa mji wa Kisii inaomba msaada wa kifedha wa kumsaidia kupokea matibabu mwanao anayeugua matatizo ya tumbo, hali inayomfanya kuenda haja kubwa kwa shida. Kevin Okwara alikuwa amefanyiwa upasuaji lakini baadaye akaruhusiwa kuenda nyumbani kabla ya kupata nafuu kutokana na ukosefu wa fedha. Familia ya Kevin inayoishi kwenye mtaa wa mabanda Kisii inahitaji shilingi laki sita ili alazwe tena hospitalini na kupata nafuu. Ili kumsaidia Kevin, tuma mchango wako kwa nambari ya Mpesa 0746242703.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kevin anayeugua maradhi ya tumbo anaomba msaada wa 600,000 ili afanyiwe upasuaji
- 26 Oct 2024 - Detectives investigating the gruesome murders of two women and a young girl in Eastleigh have recorded statements from four individuals.
- 26 Oct 2024 - The grim face of unemployment in the country became clearer as thousands continued to flock to the KICC for 3,000 job opportunities abroad.
- 26 Oct 2024 - Former President Uhuru Kenyatta has appealed to Kenyans to remain peaceful and united for the nation to move forward..
- » Presidential term-extension Bill: Senate to table report on public participation as ODM, Western region oppose26 Oct 2024 - The Senate Justice and Legal Affairs Committee is expected to table a report on public participation regarding the proposed extension of term limits for the president and other elected leaders through a bill tabled by Nandi Senator Samson Cherargei.
- 26 Oct 2024 - Drama erupts as two families clash over the burial of mother
- 26 Oct 2024 - Two million smartphones assembled in Kenya, PS says
- 26 Oct 2024 - Willis Ayieko mourned as family awaits autopsy
- 26 Oct 2024 - William Ruto risks falling into the trap of not getting the truth
- 26 Oct 2024 - My ex-husband didn't give a coin for Sh70m property, says athlete
- 26 Oct 2024 - All systems set for Monday's final national primary assessment